Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana HHM heshima kwenu Moja kwa moja kwenye mada mwenye kufahamu upatikanaji wa Mafuta ya kupikia lita 20 Nchi gani naweza kuagiza kwa unafuu zaidi. Nina pension ya kufanya hii bishara...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
maisha yanabadilika sana, ubusy wa kazi na ukuaji wa miji unatufanya wakati mwingine tufanye kazi muda mrefu na kufika nyumbani muda ukiwa umeenda sana, lakini bado haipaswi kuwa excuse ya...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni mtaalamu wa umeme na vifaa vyake(Electrical and Electronics) Nimekua niki-design vifaa mbali mbali vya electronics kama vile kifaa cha kuongeza umeme maeneo yenye umeme mdogo.Wengi wenye...
1 Reactions
14 Replies
14K Views
Hizi ndio sehemu zangu bora nilizokula chipsi nikaenjoy kwa mwaka huu 2020. 1. American chips-- kinondoni 2. Kwa mpemba-- k/nyama 3. sele bonge : Morocco Haya leo tutajiane sehemu zingine bora...
9 Reactions
203 Replies
21K Views
Nauza tecno spark 2 ROM gb 16 RAM 1 kwa sh 160000 tu nimeitumia miez michache ipo vizuri kila kitu na imenyooka haina kipengele chochote nipo Mwenge Dar 0672904720
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Karibu jipatie high sound quality speaker aina ya W-KING kwa bei nzuri . Zipo mbili tu, wahi mapema PRICE: 230,000 CONTACTS: 0744277050 LOCATION: DAR (KINONDONI)
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ya muda huu wakuu.., Poleni na majukumu ya Kila siku, bila kuwachosha nimekuja Kuna canter tan 3 inauzwa Bei ni sh. 16,500,000/- iko katika hali nzuri kabisa na sio ya udalali ipo nyumbani...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
[emoji3049]KIWANJA KINAUZWA KIPO BUNJU BEACH MOGA Kiwanja hakipo mbali na barabara kubwa ya bagamoyo road, hati miliki ipo haina tatizo lolote Bei 75million maongezi yapo [emoji1371] ukubwa wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari toyota altezza inauzwa mil 6.5 Engine yamaha vvti, 4 cylinder, cc 1980, full music, full Ac
2 Reactions
189 Replies
17K Views
Tunauza vizibo aina zote kwa jumla kwa mawasiliano piga 0653055471 ama 0785456162.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni mtaalam wa finishing ya urembo wa nyumba tunapatikana kote Tanzania na Kenya. Njoo WhatsApp kwa namba hizi +254759792752 au+255719999526
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nahitaji kupanda mlima Kilimanjaro mwezi wa 11 mwaka huu, kama kuna mtu anaweza kuniunganisha na tour company/mountain climbing company ambayo ina gharama nafuu nitashukuru sana...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau, natafuta friji au friza la mtumba kwa hapa DSM
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bei ni 150,000 Hakijatumika sana , nipo kimara baruti 0715550291
1 Reactions
14 Replies
2K Views
1.Mitaa inayonifaa ni Mbezi Louis na Msigani. 2.Nyumba isiwe mbali na kituo cha daladala. 3.Umeme wa kujitegemea. 4.Maji yawepo. 5.Kodi nina Tsh200,000/= kwa mwezi, niko tayari kulipa miezi sita.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Godoro lipo vizuri , inchi 8, 5x6 bei 145000 Lipo Mtoni Kwa Aziz Ally. Mawasiliano 0687934511
0 Reactions
14 Replies
2K Views
SHAM AUTO MOBILE HEADLIGHT COMPANY Ltd 2021/2022 Tumezalisha awamu nyingine ya lenzi mbadala kwa taa za gari aina ya TOYOTA IST kwa bei nafuu sana kwa seti gharama ni 240,000 OFISI ZETU ZIPO...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wakuu ninauza school bags nzuri za watoto katika kipindi hiki cha kukuandaa na shule bei zetu ni nafuu na mabegi ni mazuri na imara. Kuna size kubwa na ndogo na bei ni moja haijalishi size...
2 Reactions
40 Replies
6K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta wachimba visima vya maji na pia watengenezaji wa mabwawa ya kisasa ya samaki kwa kampuni zilizopo Mtwara ama zinazoweza kufanya kazi huko
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za 2019 wanaJF, Natumai mko vizuri na tunaendelea vema mwaka huu. Nahitaji kununua Laptop kwa matumizi ya kawaida, ingawa mara chache nakuwa na matumizi heavy kidogo. Natumia software...
2 Reactions
34 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…