Kwa bajeti ya Tsh. 650,000 - 700,000/=, nahitaji kununua laptop

Naipuli

JF-Expert Member
Oct 8, 2012
266
109
Habari za 2019 wanaJF,
Natumai mko vizuri na tunaendelea vema mwaka huu.

Nahitaji kununua Laptop kwa matumizi ya kawaida, ingawa mara chache nakuwa na matumizi heavy kidogo. Natumia software mbalimbali, games etc.

Bajeti yangu ni hiyo, naombeni ushauri wenu wa Brand ipi ya Laptop ninunue, Wapi kwa DAR naweza kupata Laptop mzuri, bora na Imara ambazo ni aidha NEW au REFURBISHED.
Lakini pia zenye sifa zipi mzuri kitaalamu.

Nimezowea kutumia HP na DELL, unaweza kunishauri vinginevyo. Ila kwenye issue sijui za Processor, CPU, HDD/SSD, Battery etc ndiko ninahitaji zaidi coz sina uzoefu huko na nimesikia huwa zina athari kubwa kwenye performance ya Computer.

Ahsante!

CC: Chief-Mkwawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kuna jamaa ana laptop kali mnoo anauza hp pavilion in ram 16 gb hdd 2 terabyte na n i7 proccesor 3.2 ghz anauza bei haifiki 500000 kama unataka nicheki kwa na 0784606710
Hizo specs na bei zinataia shaka...

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Habari za 2019 wanaJF,
Natumai mko vizuri na tunaendelea vema mwaka huu.

Nahitaji kununua Laptop kwa matumizi ya kawaida, ingawa mara chache nakuwa na matumizi heavy kidogo. Natumia software mbalimbali, games etc.

Bajeti yangu ni hiyo, naombeni ushauri wenu wa Brand ipi ya Laptop ninunue, Wapi kwa DAR naweza kupata Laptop mzuri, bora na Imara ambazo ni aidha NEW au REFURBISHED.
Lakini pia zenye sifa zipi mzuri kitaalamu.

Nimezowea kutumia HP na DELL, unaweza kunishauri vinginevyo. Ila kwenye issue sijui za Processor, CPU, HDD/SSD, Battery etc ndiko ninahitaji zaidi coz sina uzoefu huko na nimesikia huwa zina athari kubwa kwenye performance ya Computer.

Ahsante!

CC: Chief-Mkwawa

Sent using Jamii Forums mobile app
KUWA MAKINI NA MATAPELI
ASIKUDANGANYE MTU ANAUZA.
UTAPIGWA CHANGA NENDA MWENYEWE DUKANI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuuu mm sijasema nauza ila nimesema nnajua mahali zinauzwa nnachomaanisha n kwamba hela yako kaa nayo nakuelekeza ukishaweza kuwasiliana nao ndio utaenda dukani kwao then utakagua ndio ulipie sasa hapo utapeli unakuja api
 
Brand HP
8th Generation
Core i5
1TB
Ni Mpya Bei ni 700,000/=
Japo hautapata na Begi yake zipo nyingi ukihitaji nicheki utaletewa ulipo
Graphics aina gani?
Nipe Price ya
Ram 8-16
Graphics Nvidia
Hard disc 1tb
Processor above 3

Iwe hp or any other brand except apple products
 
Habari za 2019 wanaJF,
Natumai mko vizuri na tunaendelea vema mwaka huu.

Nahitaji kununua Laptop kwa matumizi ya kawaida, ingawa mara chache nakuwa na matumizi heavy kidogo. Natumia software mbalimbali, games etc.

Bajeti yangu ni hiyo, naombeni ushauri wenu wa Brand ipi ya Laptop ninunue, Wapi kwa DAR naweza kupata Laptop mzuri, bora na Imara ambazo ni aidha NEW au REFURBISHED.
Lakini pia zenye sifa zipi mzuri kitaalamu.

Nimezowea kutumia HP na DELL, unaweza kunishauri vinginevyo. Ila kwenye issue sijui za Processor, CPU, HDD/SSD, Battery etc ndiko ninahitaji zaidi coz sina uzoefu huko na nimesikia huwa zina athari kubwa kwenye performance ya Computer.

Ahsante!

CC: Chief-Mkwawa

Sent using Jamii Forums mobile app
HP Probook 640 G1
IN NEW CONDITION
Specifications
Core i5 (4th Gen) 2.6Ghz
HDD; 500GB
RAM; 4GB (Can be upgraded upto 16GB)
Dedicated Graphics Card; Intel HD 2GB
Comes with an adaptive displays adjusting to prevent eye strain
Fingerprint Scanner
Battery Life; 4-5 Hours Depending with usage= Video playback last 5hrs
Battery; Li-Ion6 Cell
DVD Rw
Also equiped to work as a powerbank for charging phones even when its off.
Comes with all updated drivers
Comes with Windows 10 ACTIVATED

Hii itakufaa kwa bei yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niwashukuru sana Ndugu zangu kwa ushirikiano mlonipatia hapa jukwaani na wengine wakinielekeza kupitia DM.

Nimefanikiwa kupata HP PAVILION x360 CONVERTIBLE, yenye i5 7th gen, RAM 8GB, 128GB SSD. I enjoy the product. Nafurahia ulimwengu wa SSD.

cc: Chief-Mkwawa, I appreciate your efforts.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niwashukuru sana Ndugu zangu kwa ushirikiano mlonipatia hapa jukwaani na wengine wakinielekeza kupitia DM.

Nimefanikiwa kupata HP PAVILION x360 CONVERTIBLE, yenye i5 7th gen, RAM 8GB, 128GB SSD. I enjoy the product. Nafurahia ulimwengu wa SSD.

cc: Chief-Mkwawa, I appreciate your efforts.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kapicha basiii
 
Niwashukuru sana Ndugu zangu kwa ushirikiano mlonipatia hapa jukwaani na wengine wakinielekeza kupitia DM.

Nimefanikiwa kupata HP PAVILION x360 CONVERTIBLE, yenye i5 7th gen, RAM 8GB, 128GB SSD. I enjoy the product. Nafurahia ulimwengu wa SSD.

cc: Chief-Mkwawa, I appreciate your efforts.

Sent using Jamii Forums mobile app

tofouti ya HDD na SSD ni ipi? Maana naona hiyo yako ina 128SSD na si HDD
 
tofouti ya HDD na SSD ni ipi? Maana naona hiyo yako ina 128SSD na si HDD
Ssd inatumia flash storage kama vile memory card, flash, internal memory za simu etc hizi zinakuwa na speed zaidi na bei yake pia inakuwa ghali,zenyewe zinakuwa hazina moving parts hivyo zinakuwa imara sana kwenye suala zima la kudondoka, ila zina limit ya kusoma/kuandika.

Muonekano kwa ndani
DSC_6423sm.jpg

Pia ssd zinasaidia kutengeneza computer nyembamba maana hazichukui nafasi hasa hizi za kisasa kama m2.

HDD yenyewe kama jina lilivyo hard disk inatumia disk kama cd unazoweka kwenye deki yenyewe inakuwa ndani kama picha inavyoonyesha.
s-l1000.jpg


Sababu ina moving parts kuharibika ni rahisi ukidondosha, ila zinadumu sana kama zinatulia mahala pamoja ndio maana zinatumika sana kwenye makampuni.

Kitu kikubwa kinachofanya ssd zisitumike sana ni bei yake. Zinauzwa ghali sana. Ssd ya 128GB nzuri inazidi dola 50 wakati HDD ya 1TB unapata hadi dola 40.
 
Niwashukuru sana Ndugu zangu kwa ushirikiano mlonipatia hapa jukwaani na wengine wakinielekeza kupitia DM.

Nimefanikiwa kupata HP PAVILION x360 CONVERTIBLE, yenye i5 7th gen, RAM 8GB, 128GB SSD. I enjoy the product. Nafurahia ulimwengu wa SSD.

cc: Chief-Mkwawa, I appreciate your efforts.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikupe ukweli mkuu hiyo PC usipige mzigo wa game wala video editing software, hautadumu nayo kabisaa.
Picha linaanza processor yake iko kwa moterboard permanently/irreplaceable otherwise uwe na bga machine, na kila kitu kipo hapo kuanzia graphics, cache, execution, north and south bridge zote zimelala kwenye kitu kimoja plus zile core zote zipo hapo ndo mana huwa zinazima kama kibatari tu puuuuh!

Ila kwa matumizi ya kawaida ni pruduct nzuri sana, kila la kheri.
 
Back
Top Bottom