Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

TVS cc 125 Full docs of ownership Haina tatizo lolote la kiufundi, engine haijawahi funguliwa. Bei: 1.5 milion Tshs Mbagala Dar Call 0744033555
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau wanaojua kuhusu madini ya opali. Wanaofahamu pia masoko naomba tupeane habari tufanye kaz
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini, Yanahitajika maboksi ya kusafirishia samaki barafu kama haya hapa kwenye picha. Mwenye nayo tuwasiliane!!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
HOMEBASE SMART TV INCH 43 FULL HD INATUMIA: HDMI PORTS 2 USB PORTS 2 VGA AUDIO INPUT INAINGIA: You Tube Netflix Location: ubungo external. Nipigie: 0744033555
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji kusafairisha kiroba cha kilo 50 (nguo) kuepeleka OMAN. Nipo Dar, ila kama hiyo kampuni itakua na branch Zanzibar itakua vizuri zaidi. Mwenye kufahamu naomba anijuze...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pc specifications Name: hp elitebook 6475b Display diagonal: 14 inch Processor: i5-3210M 2.5 GHz Internal memory: 4 GB DDR3-SDRAM Graphics: Intel HD Graphics 4000 Storage: 500 GB HDD Battery: 8...
0 Reactions
2 Replies
949 Views
Wapendwa wana JF, Mimi ni mdada mjasiliamali mdogo, natafuta vijana wa kuniuzia dagaa zangu za kukaanga natoa Mwanza naleta Dar, nimezipack na kuzibland vizuri, ntawalipa kwa commission nzuri...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ina ram 1 storage 16 mAh 4000 Ni clean haina creck wala mchubuko wowote ule sild haijawahi kufunguliwa Bei 120,000 nipo Banana Ukonga Namba 0625496983
0 Reactions
2 Replies
782 Views
Ndugu wana JF, karibu ujipatie barakoa safi kabisa kwa bei chee. Tunauza Tsh 55,000 tu kwa Box lenye barakoa 50 ndani. Ndani ya Jiji la Dar utaletewa hadi ulipo, na mikoani tutakutumia kwa njia ya...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Jaman napenda kuuliza ni ipi hometheatre nzuri? na je humu naweza pata anaeiuza hometheatre nzuri yenye speaker ndogo 6 na kuendelea
1 Reactions
55 Replies
20K Views
Nikiri kufaidika na michango yenu kwa jukwaa hili. Kuna kifaa kinaitwa Respby pi (pichani) nataka kutumia kuanzisha program ya kuaccess masomo bila internet. Naomba kujuzwa kinapatikana wapi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau! Nauza kiwanja changu mwembe mdogo kigambo mbele kidogo na ya Dege umbali kutaka Ferry nikama km 25 kufika kwenye kiwanja. 1.UKUBWA hatua 70 kwa 70 2.MUONEKANO...
4 Reactions
111 Replies
13K Views
Nauza kiwanja Kipo kinyerezi karibu na sheli ya Victoria Ni dk1 tu kutoka barabarani Bei mil 23 maongezi yapo Kina ukubwa wa Mita 45*35*25*10 Hata mwenye pesa pungufu anaweza kulipa Kwa awamu so...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Canon 7D Lens 18--185 Bei 1,300,000 WhatsApp and call 0744850421 WhatsApp only 07144248444 Location ubungo Makoka Mwisho
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau nina tv yangu Samsung led mtumba ilizima gafla nimeangaika kwa mafundi nimeshindwa naweza pata fundi mwenye utalaam na hzi tv za mtumba kwa sasa ukiwasha inawaka pia kioo kinaonesha...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Keep Safe ur documents/Money and all valuable items - Safe Box (Fire & Water Proof) Price: 750,000 Tsh Call: 0712908015
2 Reactions
1 Replies
834 Views
Natafuta iko kifaa kwa hapa Tz nitapata kwa bei gani? Na wapi zinapatikana?
0 Reactions
1 Replies
918 Views
Umofia wana JF-GT, Heri ya mwaka mpya,, Nauza vifaa vya maabara ya binadamu hivi vinawafaa wanaopenda kuwekeza kwenye biashara ya Maabara (Diagnosis health center) Vifaa ni vipya kabisa na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
SuperGro ni mbolea ya kioevu ya kioevu ya 100%, ambayo imetengenezwa kutoka kwa kinyesi cha kuku na guano ya ndege wa baharini. Kufanywa kutoka kwa vitu vya kikaboni bila kemikali kabisa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana Jf, Ninahitaji mtaalam ambaye anauwezo wa kukata miti iliyooitiliza urefu pembeni ya nyumba mi ashoki imekuwa mirefu unajua iko pembeni ya nyumba inahitaji utaalam naomba mwenye ujuzi huo...
0 Reactions
3 Replies
754 Views
Back
Top Bottom