Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza kuku wa kienyeji kutoka singida. Nauza jumla na reja reja. Pia napokea oda kwa wale wenye mahoteli na migahawa 📞0719805851
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Nyumba ya kisasa ina vyumba vinne master jiko, siting room, dining umeme na maji ipo bararani njia ya kwenda kiwanda cha plastiki Vikindu madafu ina eneo kubwa limebaki unaweza kupiga simu namba...
0 Reactions
0 Replies
659 Views
Kwa wakazi wa Arusha mchele msafi na ulionyooka kutoka kahama Shinyanga grade namba mbili unapatikana kwa jumla ni 1600 kuanzia kilo 10 kwa wale wenye sherehe za harusi, ubarikio, birthday party...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Jamani Kuna bidhaa hizi tamu kwa wale nadhifu na wanaotaka kuwa nadhifu pia... Bei poa na Ni latest design..[emoji1476] NB;Sina duka jamani Ila mkoa wowote tunatuma Hizi SWETA original , Ni pure...
0 Reactions
1 Replies
649 Views
Kama kuna mtu mwenye banda la chuma analiuza anitafute ili tufanye biashara. Niko Dar es salaam
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Mwenye anataka baiskeli nzuri kabisaa mountain bike gear 9( nyuma6 na mbele3) Ipo clean Kama Inavyoonekana . Ipo Dar es salaam. Bei 150,000/ RISITI YAKE IPO (iliagizwa toka Zanzibar) Mwenye...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau, nahitaji Toyota IST yenye namba D yoyote ile hata iwe DAA iliyopo Dar. Budget yangu ni Milion 6.5 TU!! Hiyo ndiyo hela iliyopo ni vema likazingatiwa. Kama unalo hilo gari nicheki...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Viwanja vipo Mtaa wa Kulangwa, Kata ya Goba, Manispaa ya Ubungo, Dar es Salaam. Ni karibu na Madale Mwisho. Viwanja vinne vipo km 2 kutoka Madale Stendi, na kimoja kipo karibu na Stendi ya Goba...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Simu tajwa hapo inauzwa ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote. 128 GB storage 6GB RAM Triple camera Bei 550k Exchange inaruhusiwa kutegemeana na simu. 0621632813
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni saa ambazo unaeza ukachagua mchanganyiko wa rangi yeyote ile uipendayo au inayoendana na kwako...ukubwa wake ni 55cm .. bei yake ni laki moja (100000) napatikana Arusha, Usa-river namba za simu...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari njema kwa wasafiri na abiria wa mikoa ya nyanda za juu kusini magharibi. Kampuni ya mabasi ya NEW FORCE yaanzisha Safari za mchana. Hii Ni habari njema Sana. Pruuuuu mpaka Maka
6 Reactions
25 Replies
6K Views
kuna tenda nimeipata ya tisheti za shule Sasa nahitaji kuelewa kiwanda cha kutengeneza matisheti kipo wapi ili ninunue kwa jumla nahitaji tisheti nyingi Mawasiliano 0657709912
1 Reactions
4 Replies
2K Views
tunafsiri lugha ya kichina.中文 , pamoja na lugha ya kijapani 日语 kama una document ipo kwenye lugha ya kichina au Kijapani na unataka iwekwe kwenye lugha ya kiswahili au kiingereza basi njoo nayo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SIMPLE RESIDENTIAL HOUSE DESIGN [emoji3591]One Master bedroom [emoji3591]One plain bedroom [emoji3591]Sitting room [emoji3591]Public toilet [emoji3591]kitchen+store [emoji3591]Entrence&kitchen...
1 Reactions
1 Replies
936 Views
Habari wana jamii natafuta sink la kuoshea nywele . Nataka kama hiyo kwenye picha nilio uplod. Tuwasiliane katika namba 0712220207
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Gari ina rangi ya pink Ina cc 999. Mwaka 1999 Full ac Full registered documents Tyres mpya kabisaa Haijawah rudiwa rangi kabisa Changamoto Vile gar unavoitaka iwe utarekebisha vitu vidogo Sana...
0 Reactions
2 Replies
863 Views
NATAFUTA FREMU YA BIASHARA YA CHAKULA KINONDONI AU ILALA. Natafuta fremu kwa bajeti isiozidi elfu sitini kwa mwezi. Maeneo kama: Magomeni Makumbusho Kinondoni studio Mkwajuni Kanisan Magomen...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Nahitaji 'pressure washer plunger pump' mpya original made in Italy by INTERPUMP GROUP. Pump kama hii: Kwa jijini Mwanza, zinapatikana maduka gani? Nahitaji Genuine kabisa interpump og. Sitaki...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni kampuni ambayo inajihusisha na uuzaji wa viwanja ambavyo vimepimwa na HATI ZINAPATIKANA KUTOKA WIZARA YA ARDHI.. je unaweza kujiuliza kwann ninunue kiwanja kwenye kampuni hiii?...ni kwasababu...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Back
Top Bottom