Nyumba 2 zinauzwa kwa pamoja ndani ya eneo moja shilingi milion 70. Maongezi yapo.
Zipo Kimara Mavurunza. Gari inafika mpaka mlangoni. Umeme upo. Nyumba ya kwanza inavyumba 12, vitatu ni master...
Habari wanajamii forum popote mlipo. Waswahili wanamsemo wao usemao asiyejua maana haambiwi maana nauza mayai mawili ya bundi yote kwa tsh milioni tano (tsh 5000,000) kwa anayehitaji tuwasiliane...
Piece moja sh.35, 000.
Upana mita 2, Urefu mita 3.
Deliveries zipo kwa Dar na mikoani natuma pia.
Ukihitaji nipigie au nicheki whatsapp nikutumie samples uchague 0685269533.
Mizigo mipya imeingia sasa;
Jipatie
[emoji3502]nguo za kike na kiume
[emoji3502]mashuka
[emoji3502]viatu; sport na official
[emoji91][emoji91][emoji91]
Kwa wateja wa mikoani usafiri ni wa...
Habari wanajamvi...?
kampuni ya OCEANKISS LTD, inachukua fursa ya kuwakaribisha wateja wote muweze kujipatia magodoro bora kabisa kwa gharama nzuri yenye unafuu na hii ni kwa watu wote mlio ndani...
Nyumba Ipo Kiluvya Madukani,
Nyumba Ipo umbali wa Kilometer Moja Kutoka Morogoro Road. Ukubwa Wa Eneo ni mita 15 Upana na Urefu mita 22.60. Nyumba Ina Vyumba Vitatu Vyote ni Masterbedrooms...
Wakuu habari.
Nahitaji mawasiliano na madalali wa ndizi ama viazi mbatata walioko soko la Mabibo DSM.
Nataka kujua abc za soko hapo town, anaeweza kunisaidia tuwasiliane pm tafadhali.
Machine mpya ya kusafishia ndani ya gari
Inatumia umeme wa gari 12V
Inanyonya michanga,vumbi,takataka ndogo ndogo
Inanyonya vumbi kwenye viti
Bei 40,000 tu.
Free delivery ukiwa dar
Call/WhatsApp...
Habari Wana hf nafanya delivering ya bidhaa mpaka ulipo tunakufikia ikiwemo hotelini, migahawani na majumba binafsi ya watu huduma zetu ambazo tunazo ni
Vitunguu maji
Vitunguu swaumu
Dagaa wa...
Habari za jioni wana jamvi kwa anaehitaji bata aina ya Muscovy (bata wa kawaida), kuku wa kienyeji na sungura
Napatikana Chanika kwa Singa.
Call 0746696878
Habari zenu ndugu zangu, mimi ni kijana nilie maliza elimu yangu kwa level ya bachelor mwaka 2017, toka kipindi hicho nimejaribu kufanya vitu tofautofauti ikiwemo vyakujiajiri binafsi na vyengine...
As a Founder and Principal Consultant of Furia Consulting Ltd, I cordially introduce you to Furia Consulting Ltd. We offer project management and consulting services in Tanzania and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.