Nahitaji simu ya 150,000 tu Mwanza

Nahitaji simu ya 150,000 tu Mwanza

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,633
Reaction score
7,021
Kama nitapata maelezo ni simu gani na naipata wapi nitashukuru.

Niko safarini kesho naenda Singida
 
Asante mkuu ila nahitaji simu mpya,maana napelekea mtu zawadi
Una 150K unataka simu mpya, maajabu hayaishi ila inawezekana nenda dukani ukanunue misimu mikanjanja kwahiyo pesa.
 
Una 150K unataka simu mpya, maajabu hayaishi ila inawezekana nenda dukani ukanunue misimu mikanjanja kwahiyo pesa.
Huyu mwamba kwa ubahili ni superm [emoji16][emoji16][emoji16]

150k brand new smartphone. Hapo atanunua mizaha tu sio smartphone
Au anunue smart kitochi ajue moja tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom