Habari za mchana,
Samahani kwa usumbufu. Nilikuwa naomba kama mtu yeyote anayejua kama kuna nyumba ya kupanga ipo naomba anijulishe
Location: Buza
Bei: 150k
Nyumba iwe na vyumba viwili, sebule...
Kwa mtu yoyote anaehitaji kununua vitu
1. Kitanda 5/6
2.godoro 5/6
3.vyombo vya ndani
4.gesi
5.shelf ya kuwekea nguo
Nipo iringa semtema. Bei ni 300,000 vyote
Habarini wadau,
Ninahitaji kununua kontena la futi 20 hivi karibuni.ila sijui namna bora ya manunuzi ili niwe salama.maana nasikia kontena huwa linakuwa na Document na sijawahi kuiona hiyo...
TUNASAFIRISHA MIZIGO KWENDA NJE NA NDANI YA NCHI
Karibu Kwa Huduma ya Kusafirisha Cargo Kwenda Nchi za Nje na Ndani ya Nchi
Tunasafirisha Kwenda Mikoa Yote ya Tz Bara na Nchi za Nje Kama
-Kenya...
Kuelekea Pasaka na Eid wakazi wa Dar free delivery- Tupo Temeke kwa Azizi Ally au Ilala bungoni au Temeke hospitali
Super Tsh 2,000
Mzuri Tsh 1,800 ila harufu ni ile ile ya mbeya
Wastani Tshs...
Hi
I am looking for a swahili tutor to teach my kids swahili. The person must be educated with good english and have use of a laptop for zoom lessons. They must be able to plan each lesson in...
Habari za leo wakuu!
Nijikite moja kwa moja kwenye Mada. Natarajia kuozesha binti yangu katikati ya mwezi wa Sita mwaka huu, nategemea kumfanyia Sherehe ya kumuaga-SendOff.
Nahitaji Ukumbi wa...
Wadau
Nina soko la nyama ya mbuzi nchi za nje kiasi cha tani 2 - 5 kwa wiki .Nina hitaji mtu anayejua juu ya upatikanaji wake ,gharama,kama kuna kiwanda cha uchakataji nk ......kama kuna mjuzi...
Zoezi la kufunga Submita hizi za PREPAY Hizi ni Mita Binafsi Ambazo ni maalumu kabisa kwa wale Watu wanaotumia mita moja ya LUKU zaidi ya mtuu mmoja limekamilika
Faida za hii Mita nikwamba owapo...
Ni mpya nimeitumia mwezi mmoja,
Ina watts 30
Fully water proof
Battery yake inadumu saa 12
Ni HIFI PORTABLE SPEAKER
Ina extended treble and bass
Bei yake ni 450'000/= namba yangu ni hii 0712106223...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu na kutokana na swala la ajira lilivyogumu kuna pikipiki hapa inahitaji kijana mmoja mwenye kujielewa nimpe pikipiki kwa mkataba..
Aliye tayari tafadhari...
Eneo: Skaska( Kituo Kimoja kabla ya Kufika Tegeta)
Uelekeo: Umbali wa dakika 7 kwa kutembea Kutoka kituoni
Bei: Tshs 200,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
Ina Chumba Kimoja, Sebule, Choo ndani na...