Acha uongo... Hapo ni mita za mraba ni 270...Saw mkuu mita za mraba 480 mkuu.
Asante mkuu.. kumbe social science ina sehem zake. Na kuhus bei mkuu mbagala siyo goba au chanika na mwembemdogo(dege) we una bei gani niangalie maslahi yanguAcha uongo... Hapo ni mita za mraba ni 270...
1m = 0.3 foot
Kwa hyo hapo ni 15m kwa 18m..
Halafu eneo dogo afu garama sana
Chukua 10MAsante mkuu.. kumbe social science ina sehem zake. Na kuhus bei mkuu mbagala siyo goba au chanika na mwembemdogo(dege) we una bei gani niangalie maslahi yangu
Kuanzia Mbagara mpaka Chanika nyumba ya milioni 45 ni mjumba kweli kweli.Wana jf nauza eneo langu lipo mbagala,mgeninani.
Lina ukubwa wa foot 50×60,lipo barabarani halina mgogoro wowote na umbali wa mwendo wa dakika 3 toka stendi kuu(ambapo magari ya posta na kariakoo hupatikana kwa nauli ya tsh 450 tu) .pia Kuna kibanda cha vyumba vi3(kwa waKongwe wa EPA walioko jf siwez sem nyumba). Bei mil 45 hadi 42 kwa mawsiliano ya 0686731833 wasap,sms au piga kupata maelezo zaidi na picha.
View attachment 1609712View attachment 1609713
Kuhus nyaraka Kuna hati ya mauziano ya serikal ya mtaa. Nimeshauriwa pia na baadhi ya wateja kuhus hati Miliki kutoka ardhi nashkuru nalifanyia kazi.
Karibu kijichi mkuu umewah kufika..!? Shukrani kwa mchango wakoMkuu nakuhakikishia Hautapata Mteja wa kununua ilo eneo kwa pesa iyo trust me ata Dalali akija ata kwambia.
Apo chamazi kuna Jamaa alijenga nyumba ikamshinda na n bonge la nyumba haswa alianza M70 kuuza imekaa miaka 15 mpaka sasa ameshusha mpaka 25M bado ajapata mteja.
Ebu vuta picha kama maeneo ayo watu wananunua nyumba 20M,15M mpaka 10M na Ni nyumba ya vyumba vitatu sitting, dinning, kitchen na stoo be serious utapata mteja ila acha kuwa na Tamaa za kupata pesa nyingi uku mazingira ya eneo, na ukubwa havirizishi
Maeneo ya Mbagala watu wanaokaa ukanda uo wana pesa za kudunduliza na unajua ni watu wa Kusini kwa 95% sasa M45 akija dalali ata kwambia zangu 5 so atatafuta mteja wauze eneo kwa M50 je mteja atapatikana ?
Ukisema ushushe ilo eneo watakwambia uliuze M20-25 dalali anaweza jitahidi mpata mteja japo pia nikwa mbinde sana so jaribu kutafuta madalali pia kwa ilo