Vitu chumba kizima vinauzwa kitanda, godoro, meza ya kusomea, vyombo, gesi, kikabati

arthurluy

Member
Nov 29, 2019
16
18
Kwa mtu yoyote anaehitaji kununua vitu
1. Kitanda 5/6
2.godoro 5/6
3.vyombo vya ndani
4.gesi
5.shelf ya kuwekea nguo

Nipo iringa semtema. Bei ni 300,000 vyote

6F21B18B-A40B-47E6-ADB3-7779D8E9BC7B.jpeg
91B1F28A-E8F3-4F96-816A-454861A532C3.jpeg
57FBD8F7-18E8-4D0B-A132-EFE8733094CD.jpeg
FE4A3439-184F-44C2-82D8-8A72D3F35D3A.jpeg
3DD01272-2F5D-4EFD-969C-98D9686C5ED6.jpeg
2749FBF5-2ECA-4724-9127-3E1CE3A57DCC.jpeg
 
Kwa mtu yoyote anaehitaji kununua vitu
1. Kitanda 5/6
2.godolo 5/6
3.vyombo vya ndani
4.gesi
5.shelf ya kuwekea nguo
Nipo iringa semtema
Wa TZ kwenye biashara za online wengi wetu hatujui kabisa ,yaani unatangaza unauza vitu halafu hakuna hata picha? Really? Like seriously??
 
Macho yangu ama kukurupuka ku-comment?? Yaani we acha tu
Sijakuelewa mkuu ,nani aliyekurupuka? Uzi uliwekwa bila picha mpaka watu wakawa wanauliza picha mbona hakuna,baadae ame update kwa kuweka picha......Swali langu nani kakurupuka kucomment? Post ya kwanza ndio inatakiwa iwe na picha na mimi nimsoma post ya kwanza ambayo haina picha at the time na quote.
 
Back
Top Bottom