Nyumba inauzwa (Pagale) ipo Kigamboni DSM.
Ukubwa wa eneo: SQM 500
Document: Hati safi kabisa ya s/mtaa.
Location: Kigamboni Mjimwema. KM 4 kutoka ferry, nyumba ipo karibu kabisa na barabara ya...
1. Chumba Sebule Choo ndani bila jiko.
--Maji dawasco, fensi & Umeme Luku.
--Bei Tshs 200,000/Mwezi
-- Piga 0675107182
Sent using Jamii Forums mobile app
wachimbaji visima virefu vya maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani au shambani pia tunafanya surveying (tafiti kubaini uwepo wa maji ) kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba...
Asalaam alaikum wanajamii forum
Nauza nyumba ambayo namiliki mwenyewe sio dalali 0762987034
Ina vyumba vitatu viwili masters
Ina sebule, dinning, jiko , fensi
Ni nyumba ya pili toka barabara kuu...
Ukubwa wa Kiwanja: 1200 Mita za Mraba.
Kimepimwa: Ndiyo.
Kina Hati: Ndiyo.
Bei: Tshs Milioni 100 ( Maelewano yapo )
Eneo kilipo kiwanja: Salasala Karibu na kwa aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Waitara...
Habari,
Mimi ni mdada nipo maeneo ya Tegeta natoa huduma ya kufanya usafi majumbani, kama unahitaji kufua, kuosha vyombo, kudeki n.k.
Nafanya usafi na kuondoka.
Malipo sio chini ya 10,000.
PM...
Chumba na choo chake, Sebule na jiko.
Ina tiles, gypsum, maji ndani na fensi ipo.
Kodi laki 2 kwa Mwezi, malipo ya miezi 6 yanatakiwa.
Karibu 0742141467
Kuna jamaa (nimsahau) alisema ametengeneza software inayoweza kutumika na kanisa Katoliki kwenye taarifa za waumini kuhusu
1. Jina
2. Jumuiya
3. kanda
4 ULIPAJI zaka na michango mbalimbali
4...
Wakuu kwema?
Naomba kuuliza Kwa wenyeji wa Dodoma Kama Kuna kampuni ya kusafirisha mizigo (pikipiki) kutoka dodoma hadi Mbeya.
Au kwa wazoefu wa dodoma huwa mnasafirishaje mzigo toka Dodoma hadi...
UNGA MPYA MJINI ARUSHA
Tunawakaribisha wauzaji , wasambazaji na wadau wote. Wasiliana na sisi ile kupata fursha hii. Unga wetu ni mzuri, tamu sana na yenye viwango vya TBS.
Bei za Jumla:
25kg ...
Habari za mchana,
Samahani kwa usumbufu. Nilikuwa naomba kama mtu yeyote anayejua kama kuna nyumba ya kupanga ipo naomba anijulishe
Location: Buza
Bei: 150k
Nyumba iwe na vyumba viwili, sebule...
Kwa mtu yoyote anaehitaji kununua vitu
1. Kitanda 5/6
2.godoro 5/6
3.vyombo vya ndani
4.gesi
5.shelf ya kuwekea nguo
Nipo iringa semtema. Bei ni 300,000 vyote
Habarini wadau,
Ninahitaji kununua kontena la futi 20 hivi karibuni.ila sijui namna bora ya manunuzi ili niwe salama.maana nasikia kontena huwa linakuwa na Document na sijawahi kuiona hiyo...