Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Iwe nzima,dalali kaa pembeni
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa (Pagale) ipo Kigamboni DSM. Ukubwa wa eneo: SQM 500 Document: Hati safi kabisa ya s/mtaa. Location: Kigamboni Mjimwema. KM 4 kutoka ferry, nyumba ipo karibu kabisa na barabara ya...
0 Reactions
1 Replies
779 Views
1. Chumba Sebule Choo ndani bila jiko. --Maji dawasco, fensi & Umeme Luku. --Bei Tshs 200,000/Mwezi -- Piga 0675107182 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
32 Replies
3K Views
wachimbaji visima virefu vya maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani au shambani pia tunafanya surveying (tafiti kubaini uwepo wa maji ) kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba...
1 Reactions
75 Replies
18K Views
Printer ni mpya kabisa haijatumika. Bei 450000. print scan copy inatumia cartridge mbili Njoo na maongezi Mawasiliano
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Asalaam alaikum wanajamii forum Nauza nyumba ambayo namiliki mwenyewe sio dalali 0762987034 Ina vyumba vitatu viwili masters Ina sebule, dinning, jiko , fensi Ni nyumba ya pili toka barabara kuu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukubwa wa Kiwanja: 1200 Mita za Mraba. Kimepimwa: Ndiyo. Kina Hati: Ndiyo. Bei: Tshs Milioni 100 ( Maelewano yapo ) Eneo kilipo kiwanja: Salasala Karibu na kwa aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Waitara...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari, Mimi ni mdada nipo maeneo ya Tegeta natoa huduma ya kufanya usafi majumbani, kama unahitaji kufua, kuosha vyombo, kudeki n.k. Nafanya usafi na kuondoka. Malipo sio chini ya 10,000. PM...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Chumba na choo chake, Sebule na jiko. Ina tiles, gypsum, maji ndani na fensi ipo. Kodi laki 2 kwa Mwezi, malipo ya miezi 6 yanatakiwa. Karibu 0742141467
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Imetumika kidogo Ipo katika hali nzuri Location: Kunduchi, Dar es Salaam Bei : 220,000/= only
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Kuna jamaa (nimsahau) alisema ametengeneza software inayoweza kutumika na kanisa Katoliki kwenye taarifa za waumini kuhusu 1. Jina 2. Jumuiya 3. kanda 4 ULIPAJI zaka na michango mbalimbali 4...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Banda la vyumba vitatu linauzwa.Bei 8.5 million. Banda hili lipo Tabata Kinyerezi.Ina bati la Msauzi. Kwa maelezo zaidi njoo inbox.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Naomba kuuliza Kwa wenyeji wa Dodoma Kama Kuna kampuni ya kusafirisha mizigo (pikipiki) kutoka dodoma hadi Mbeya. Au kwa wazoefu wa dodoma huwa mnasafirishaje mzigo toka Dodoma hadi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
UNGA MPYA MJINI ARUSHA Tunawakaribisha wauzaji , wasambazaji na wadau wote. Wasiliana na sisi ile kupata fursha hii. Unga wetu ni mzuri, tamu sana na yenye viwango vya TBS. Bei za Jumla: 25kg ...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mchana, Samahani kwa usumbufu. Nilikuwa naomba kama mtu yeyote anayejua kama kuna nyumba ya kupanga ipo naomba anijulishe Location: Buza Bei: 150k Nyumba iwe na vyumba viwili, sebule...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mtu yoyote anaehitaji kununua vitu 1. Kitanda 5/6 2.godoro 5/6 3.vyombo vya ndani 4.gesi 5.shelf ya kuwekea nguo Nipo iringa semtema. Bei ni 300,000 vyote
3 Reactions
27 Replies
3K Views
..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wadau, Ninahitaji kununua kontena la futi 20 hivi karibuni.ila sijui namna bora ya manunuzi ili niwe salama.maana nasikia kontena huwa linakuwa na Document na sijawahi kuiona hiyo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ukubwa mita 20 kwa 20 (400sqm). Umeme Upo na barabara nzuri ipo. Eneo limepimwa, hakuna mgogoro. Bei Tsh 4Milioni. Karibu 0742141467
0 Reactions
4 Replies
828 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…