Samsung s6 edge
Ina crack mbele ambazo hazina madhara
Hazionekani sana
Camera safi
Fingerprint
Face unlock
Rom 32
Location: Dar Kimara-Suka
Price : 170k
0654224700
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia)
Debe la mahindi utapata KWA 8500
Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa.
Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k.
Ila ofa hii ipo KWA kipindi...
Bado tunasisitiza UBORA NI KIPAUMBELE KWETU. Karibu Ujipatie Business Cards (Plastic Material) zenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu sana. 30,000/= per 50 Pcs.
Tunapatikana Dodoma lakini...
Habari,
Nauza gari Aina ya Toyota Verossa number DAK haina tatizo lolote unawasha gari na kwenda safari kokote, gari ni yangu mwenyewe nauza ili nibadilishe au pia tunaweza kubadilisha...
JOB TITLE: Rock Tools Assistant
Location: Bulyanhulu, Tanzania
Job duties:
● Follow established guidelines or checklists to answer routine internal and customer enquiries on service and product...
Chumba masta (Chumba kimoja cha kulala pamoja na choo chake)
Eneo: Mbezibeach
Bei Tshs 120,000/Mwezi
Maji ya dawasa yapo masaa 24, Usalama Upo wa kutosha, Ipo umbali wa dakika 5 kutembea kwa...
Business as usually guys tumepata matumaini mapya sasa tufanye kazi, nitawaletea fursa za connection international and local with conditions to be respective on the agenda.
1)Lets start with...
Karibu wadau zangu. Tupo kukusaidia Wewe kupata Nyumba nzuri naViwanja vizuri kwa Kupanga ama Kununua ndani Dar es salaam.
Ikiwa una uhitaji wa nyumba ya Kupanga au kununua ama una uhitaji wa...
Simu ni ya kwangu, niliinunua for temporary usage baada ya simu yangu niliyokuwa naitumia kupasuka display. Kwasasa nimeshaifix simu yangu hiyo ya awali hivyo nataka kuiresale hii niliyotumia kwa...
Kiwanja kizuri sana, Kipo karibu na barabara Kubwa ya lami.
Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking)
Bei - Tshs...
Wakuu habarini za leo?
Nipo hapa kwenu kuwaambia nauza karanga mbichi gunia moja yeyote mwenye uhitaji inbox me please.
Natanguliza shukurani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kutii agizo la Serikali lilitolewa April 2 la kusitisha gharama mpya za vifurushi, TTCL Corporation April 3 ilianza na kukamilisha mchakato wa kurejesha gharama za zamani za vifurushi"Kaimu...
Nina Samsung a10s black
Ram 2GB
Rom 32GB
Nafanya exchange na iphome 6s naongeza na hela... Simu yangu used 1 montsh
Ni kwawakazibwa Dar es Salaam tu.
0759377457.
Naomba kuuliza mwenye laptop anauza.
RAM iwe kuanzia 3GB na kuendelea.
Hard disc kuanzia 200 na kuendelea.
Ikae na charge kuanzia masaa mawili na kuendelea.
Bei isizidi laki tatu
Kama unayo...
Mwenye uhitaji wa shamba la zabibu lipo ndani ya mradi wa umwagigiliaji (irrigation scheme) lenye ukubwa wa ekari moja na nusu , lina zabibu tayari ,ambapo unahudumia kisha unavuna, bei ni 19...
Karibu ujipatie eneo la kujenga hosteli au nyumba ya kupangisha katika jiji la Dodoma.
Eneo lipo karibu kabisa na chuo cha LGTI-HOMBOLO DODOMA
Umeme upo wastani wa nguzo mbili hadi tatu.
Eneo...