Car4Sale Toyota Axio inauzwa bei ya kutupa

The last don

JF-Expert Member
Aug 3, 2011
966
970
Wale wazee wa kulenga njoo uchukue gari hii TOYOTA AXIO
CC 1490
Namba BEE
Haijawahi kupata ajari
Haina shida yoyote ya kiufundi, mwenye mali ana shida kubwa na kimfaacho mtu chake
BEI Milion 4.5
Gari ipo Dar es Salaam Mburahati
Mawasiliano 0621973591

IMG-20210604-WA0047.jpg
IMG-20210604-WA0044.jpg
IMG-20210604-WA0045.jpg
IMG-20210604-WA0048.jpg
IMG-20210604-WA0041.jpg
IMG-20210604-WA0049.jpg
 
Interested party...unaruhusiwa kutoa 3.5M ukachukua gari,then baada ya mwezi ukamalizia 1M.
Call 0621973591
gari haina shida yoyote na haijawahi kupata ajari yoyote
Inatakiwa pesa ya haraka this morning ili kuweza kuokoa maisha ya mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom