Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa mahitaji ya Mashuka Size 5*6 sh.22, 000 (mashuka mawili+Foronya mbili) Size 6*6 sh.30, 000 (mashuka mawili+Foronya mbili) Size 8*8 sh.60, 000 (mashuka mawili+Foronya nne) Delivery zipo kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nyumba ya Vyumba viwili, Chumba kimoja ni masta pamoja na sebule, jiko na choo cha wageni. Mahali: Sinza Bei: tshs 400,000 Kwa Mwezi Eneo lina uzio na geti, Usalama wa kutoshsa, maegesho ya gari...
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Alternator aina ya Bosch 150A kwa BMW E90 3-series. Ni used lakini inafanya kazi vizuri. Bei laki 5. Wasiliana 0759970963
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam waheshimiwa, nahitaji vyombo vya ndani ( geto ). Nahitaji kitanda, godoro, mtungi wa gesi, kikabati cha kizushi ( kibaharia) na vikoro koro vingine vya geto. Vitu ninavyotaka ni vya kijana...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Jamani nipo Dar, nauliza mwenye kujua sehemu ambapo ninaweza kupata spares za simu aina ya TEENO R5(smartphone), nimezunguka Kariakoo sehemu kubwa sijapata. Natanguliza shukurani za dhati.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Pata HOMEBASE SMART TV, inch 32, kwa laki 330 tu, -New model -Double screen(protector) - Warranty mwaka mmoja. -Free delivery kwa mbeya. Location Mbeya town. Zipo nyingi Call 0768-540772
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Natafuta IST iliyo kwenye hali nzuri, iwe haijawahi pata ajali, haijarudiwa rangi no D. Offer yangu ni milioni 7. Mawasiliano ni 0766049522.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau naomba kuuliza kwa mwenye kufahamu bei za engine za pikipiki anijuze . Engine iwe ya LIFAN, TOYO AU KINGLION AU SINORAY ziwe za 150cc
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ndugu wana JamiiForums Nimeandika kitabu cha English na kimesha fanyiwa Editing na wataalamu wa Harvard University na Manhantan University .. ambao no Phd na Wasomi wa Linguistics. Kwa sasa...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Toyota Rav [DVE] Year : 2005 Engine Capacity: 2360c Low Mileage Colour : Silver Full options Excellent Conditions Location : Kijitonyama Price 28M Tzs Call : 0717436363
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Location:Mwanza Price:Milioni 11.5 Make:Toyota Model:Allion Year:2008 Mileage:89,000km Engine:1nz vvti,1490cc Condition:Excellent as New Call/WhatsApp:0784399081/0754405179 Mmiliki.
1 Reactions
1 Replies
810 Views
Habari ya leo dugu zangu, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu nauza huu mzigo. , model sm_t819 storage gb 32 Ram 3gb Ipo katika hali nzuri kabisa, napatikana kariakoo. Chuma hichi...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Habari wadau.. Nauza wheel chair za mtumba.. nzuri kabisa zipo mbili.. Yenye draft draft bei yake ni Tsh. 200,000. na nyingine nyeusi bei yake ni Tsh 150,000. Namba ya simu ni 0692 275 229
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Nauza soya 1900@kilo. Karibu tufanye biashara.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Pick-up double cabin White Imported from: great britain Manufactured: 2004 Manual 2kd D4d Current location : moshi Whatsapp /call 0713683422 Owner is a doctor Reason for selling...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Wana-JF kuna brand mpya ya Digital tv zinaitwa Sansui kuna jamaa yangu yupo Japan ameniambia anataka kunitumia niziuze. Swali ni je hizi tv zinaubora kweli na zitauzika? Mwenye uelewa tafadhali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Suala la Ardhi ni suala pana sana na mtambuka, ni suala linalogusa kila mtu kwa sababu kwa namna moja kila mtu anamahusiano na Ardhi ya moja kwa moja au kupitia ndugu, jamaa na marafiki. Pia...
0 Reactions
0 Replies
427 Views
Natafuta bajaji ya kuendesha kwa mkataba. Hesabu kwa Siku 20,000/=. Namba yangu 0713695147. Nipo Madale, Dar es Salaam. Kama una bajaji tuwasilian
0 Reactions
24 Replies
5K Views
nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…