Nyumba ya Vyumba viwili, Chumba kimoja ni masta pamoja na sebule, jiko na choo cha wageni.
Mahali: Sinza
Bei: tshs 400,000 Kwa Mwezi
Eneo lina uzio na geti, Usalama wa kutoshsa, maegesho ya gari...
Salaam waheshimiwa, nahitaji vyombo vya ndani ( geto ).
Nahitaji kitanda, godoro, mtungi wa gesi, kikabati cha kizushi ( kibaharia) na vikoro koro vingine vya geto. Vitu ninavyotaka ni vya kijana...
Jamani nipo Dar, nauliza mwenye kujua sehemu ambapo ninaweza kupata spares za simu aina ya TEENO R5(smartphone), nimezunguka Kariakoo sehemu kubwa sijapata. Natanguliza shukurani za dhati.
Pata HOMEBASE SMART TV, inch 32, kwa laki 330 tu,
-New model
-Double screen(protector)
- Warranty mwaka mmoja.
-Free delivery kwa mbeya.
Location Mbeya town.
Zipo nyingi
Call 0768-540772
Ndugu wana JamiiForums
Nimeandika kitabu cha English na kimesha fanyiwa Editing na wataalamu wa Harvard University na Manhantan University .. ambao no Phd na Wasomi wa Linguistics. Kwa sasa...
Habari ya leo dugu zangu, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu nauza huu mzigo. ,
model sm_t819
storage gb 32
Ram 3gb
Ipo katika hali nzuri kabisa, napatikana kariakoo. Chuma hichi...
Habari wadau..
Nauza wheel chair za mtumba.. nzuri kabisa zipo mbili..
Yenye draft draft bei yake ni Tsh. 200,000. na nyingine nyeusi bei yake ni Tsh 150,000.
Namba ya simu ni 0692 275 229
Pick-up double cabin
White
Imported from: great britain
Manufactured: 2004
Manual
2kd
D4d
Current location : moshi
Whatsapp /call 0713683422
Owner is a doctor
Reason for selling...
Wana-JF kuna brand mpya ya Digital tv zinaitwa Sansui kuna jamaa yangu yupo Japan ameniambia anataka kunitumia niziuze.
Swali ni je hizi tv zinaubora kweli na zitauzika? Mwenye uelewa tafadhali...
Suala la Ardhi ni suala pana sana na mtambuka, ni suala linalogusa kila mtu kwa sababu kwa namna moja kila mtu anamahusiano na Ardhi ya moja kwa moja au kupitia ndugu, jamaa na marafiki.
Pia...
nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa...