Nauza viwanja eneo la Vikawe

Mr Ardhi

New Member
Feb 19, 2021
2
0
Mradi mpya wa Viwanja vya Makazi Eneo la Vikawe,Km 6 kutoka Barabara kuu ya bagamoyo
●Magharibi mwa Bunju na Mabwe- Pande
●Vipo karibu na Barabara ya Mapinga-Maili Moja( inayojengwa kwa Lami sasa hivi)
●Vipo eneo zuri ambalo lipo kwenye mwinuko, na hali ya hewa safi sana
●Tsh 8750 kwa mita ya mraba
●Umeme na maji upo
●Maeneo ya jirani na viwanja yameishaendelezwa kwa kujengwa nyumba za kisasa, vituo vya huduma kijamii,hoteli nk
●Malipo unaweza kulipa kwa cash au kwa Awamu.
PIGA SIMU KWA MUHUSIKA MKUU
0713909842/0759463410/0629699432
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom