Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Karibuni sana ndugu zangu, ninatengeneza na kuuza dagaa wazuri, watamu, safi na salama kutoka ziwa victoria wajulikanao kama Nyama Nono.
Nyama Nono ni dagaa wanaoandaliwa na kukaangwa wakiwa wabichi kabisa kutoka ziwani.
Dagaa hawa wanawekwa viungo vyote muhimu, mfano tangawizi, Limao, vitunguu Swaumu, na pilipili (kwa maelekezo ya mteja), pia kama kuna viungo zaidi mteja anahitaji viongezwe vinaongezwa, hii ni katika kumsikiliza mteja na kumpa kitu anachokitaka.
Bei ya dagaa hizi ni rafiki kabisa,
Sado moja ni Tsh 15000/-
Ndoo moja ni Tsh 75000/-
Tunapatikana Mwanza mjini, pia mkoa wowote tunasafirisha mzigo kwa uhakika na uaminifu mkubwa.
Mawasiliano 0623441247
Karibu sana tukuhudumie.
Asanteh!
Sent using Jamii Forums mobile app
NB: kuepusha suala la uaminifu, malipo utachagua mwenyewe namna tutakavyoelewana, aidha ulipie baada ya kuona mzigo ama ulipie kabla ya mzigo kukufikia, maamuzi yako juu ya mteja
View attachment 1813762View attachment 1813763
View attachment 1813770
Karibuni sana ndugu zangu, ninatengeneza na kuuza dagaa wazuri, watamu, safi na salama kutoka ziwa victoria wajulikanao kama Nyama Nono.
Nyama Nono ni dagaa wanaoandaliwa na kukaangwa wakiwa wabichi kabisa kutoka ziwani.
Dagaa hawa wanawekwa viungo vyote muhimu, mfano tangawizi, Limao, vitunguu Swaumu, na pilipili (kwa maelekezo ya mteja), pia kama kuna viungo zaidi mteja anahitaji viongezwe vinaongezwa, hii ni katika kumsikiliza mteja na kumpa kitu anachokitaka.
Bei ya dagaa hizi ni rafiki kabisa,
Sado moja ni Tsh 15000/-
Ndoo moja ni Tsh 75000/-
Tunapatikana Mwanza mjini, pia mkoa wowote tunasafirisha mzigo kwa uhakika na uaminifu mkubwa.
Mawasiliano 0623441247
Karibu sana tukuhudumie.
Asanteh!
Sent using Jamii Forums mobile app
NB: kuepusha suala la uaminifu, malipo utachagua mwenyewe namna tutakavyoelewana, aidha ulipie baada ya kuona mzigo ama ulipie kabla ya mzigo kukufikia, maamuzi yako juu ya mteja
View attachment 1813762View attachment 1813763
View attachment 1813770