Kwa gentlemen wa Dar, napata wap cadet za pamba hazikubana chini? Walau chini iwe 21" naona kizazi kipya kinatutoa sokon tusiopenda fashion za chupa na mlegezo
Naombeni mnisaidie ni maeneo yepi ktk mkoa wa Dar naweza pata chumba kizuri cha masters kwa bei nzuri ya kizalendo or n maeneo yepi dsm unaweza mshauri mtu akapange chumba na kuanza maisha.
VITAMBULISHO VYA PVC(PVC ID CARDS)
Hii ni maalum kwa
Shule za Secondary
College
Taasisi
Mtu binafsi
Company N.k
Tunatengeneza vitambulisho vya PVC (polyvinylChloride) ni vile vitambulisho...
Wakuu habari zenu.
Mwenye ndugu au babu yake kama anauza shamba kuanzia heka moja au zaidi lakini liwe barabarani au isizidi kama moja kutoka barabarani. Maeneo yanayohitajika ni kuanzia Kibaha...
Habari wakuu, nipo hapa Dar
Naombeni msaada.
Nataka kufufua gari langu natafuta hizi spare, wapi naweza kupata mpya na genuine? Bei?
5L Engine assembly (complete set ikiwa na kila kitu)...
Ipo mjimwema mtaa wa Kibugumo
Ina vyumba viwili master sitting room
Dining Room jiko na public toilet kiwanja kina 25×35 pia mbele kuna Boma la Frem
Mbili za biashara bei Tsh. milioni 85 maongezi...
Nahitaji mtu anaeuza flatscreen smart TV inch 32 brand Hisense. Napatikana Morocco ATS office eneo la Ada estate. Tunaandikishiana ofisini hapa kabisa.
Malipo: Nitalipa kwa two installments in a...
Habari wana jamvi,
Nina shida na tofali za kuchoma na molamu niko Dar, Kigamboni. Naomba kwa anayejua mahali napoweza kuzipata aniambie....na bei zake.
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Karibuni sana ndugu zangu, ninatengeneza na kuuza dagaa wazuri, watamu, safi na salama kutoka ziwa victoria wajulikanao kama Nyama Nono.
Nyama Nono ni dagaa...
Mradi mpya wa Viwanja vya Makazi Eneo la Vikawe,Km 6 kutoka Barabara kuu ya bagamoyo
●Magharibi mwa Bunju na Mabwe- Pande
●Vipo karibu na Barabara ya Mapinga-Maili Moja( inayojengwa kwa Lami sasa...
Naulizia duka linalouza vifaa vyote kwa ajili ya kutengeneza incubator Dar es Salaam. Anaye faham msaada taadhali hapa namaanisha fan, thermostart, digital thermometer na mashine ya kugeuza mayai...
Habari wanajamvi karibuni kwenye threat hii,
Noble Real Estate ni wauzaji wa mashamba na viwanja waliojitika hasa katika jiji la Dar es Salaam na Pwani. Viwanja vyetu vimepimwa na vinatambulika...