Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, nipo hapa Dar Naombeni msaada. Nataka kufufua gari langu natafuta hizi spare, wapi naweza kupata mpya na genuine? Bei? 5L Engine assembly (complete set ikiwa na kila kitu)...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Vipo Dar Bei ya leoleo tu mwenye kuwahi aje chap 0755417218 UPDATE:MEZA IMESHACHKULIWA VILIVYOBAKI KILA KIMOJA 50
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Tunauza mbao za kupauwa zenye dawa kwa uaminifu mkubwa, na tunakupa ofa ya usafiri bure.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ipo mjimwema mtaa wa Kibugumo Ina vyumba viwili master sitting room Dining Room jiko na public toilet kiwanja kina 25×35 pia mbele kuna Boma la Frem Mbili za biashara bei Tsh. milioni 85 maongezi...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Nahitaji mtu anaeuza flatscreen smart TV inch 32 brand Hisense. Napatikana Morocco ATS office eneo la Ada estate. Tunaandikishiana ofisini hapa kabisa. Malipo: Nitalipa kwa two installments in a...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Nahitaji account ya Youtube inayokaribia kutoa matangazo. kwa yeyote alitenayo anicheki tafadhari.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza pikipiki yangu ya kutembelea, ipo vizuri sana. Price; 1.5m Location; Mwanza Buzuruga Karibu Pm
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Nina shida na tofali za kuchoma na molamu niko Dar, Kigamboni. Naomba kwa anayejua mahali napoweza kuzipata aniambie....na bei zake.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri Karibuni sana ndugu zangu, ninatengeneza na kuuza dagaa wazuri, watamu, safi na salama kutoka ziwa victoria wajulikanao kama Nyama Nono. Nyama Nono ni dagaa...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Mradi mpya wa Viwanja vya Makazi Eneo la Vikawe,Km 6 kutoka Barabara kuu ya bagamoyo ●Magharibi mwa Bunju na Mabwe- Pande ●Vipo karibu na Barabara ya Mapinga-Maili Moja( inayojengwa kwa Lami sasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naulizia duka linalouza vifaa vyote kwa ajili ya kutengeneza incubator Dar es Salaam. Anaye faham msaada taadhali hapa namaanisha fan, thermostart, digital thermometer na mashine ya kugeuza mayai...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kicha cha habari kinavyosomeka mwenye nayo mbegu hiyo ya hass anielekeze nimachukye fasta.
0 Reactions
10 Replies
696 Views
Habari wanajamvi karibuni kwenye threat hii, Noble Real Estate ni wauzaji wa mashamba na viwanja waliojitika hasa katika jiji la Dar es Salaam na Pwani. Viwanja vyetu vimepimwa na vinatambulika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Get fresh whole chicken/Cutups
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Habarini za asubuhi wakuu, naomba kuuliza wapi naweza pata hizi mizani vidogo digital scale na wanauza kwa Tsh. ngapi na je zinaweza kuwa na soko maeneo gani?
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Habari wakuu nauza gari yangu nina emergency haina tatizo lolote wala haijawahi kurudiwa rangi. Bei 10.3 maelewano yapo kidogo Mwaka 2004 Millage-99288 Cc 1790 Colour- black Inapatikana Dar es...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Make: Toyota Model: ToyoAce Capacity: 1.25 Tons Type: Pick Up Gear: Manual, 5 Gears Mileage: 197,211Km Bei: Tshs 11,500,000 Mahali ilipo: Dar es Salaam, Mbezibeach Vibali vyote vimelipiwa, gari...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
VANGUARD PROMAX 7500EA GENERATOR Runtime 7hrs 05min 14Hp V-Twin Vanguard Engine Rated Power (COP) 6.0KW Equiv Max (KVA) 7.5KVA Rated Voltage 230 V- Rated Current 26A Rated Freg 50Hz/1.0 Mass /IP...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Rafiki yangu mpendwa, Kilio kikubwa cha watu kwa sasa ni pengo kati ya matajiri na masikini kuzidi kuwa kubwa. Matajiri wanazidi kuwa matajiri huku masikini wakizidi kuwa masikini. Ni hali...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Dear JF members, Greetings from WLC. We asked for an opportunity to come and provide you with education regarding the logistics hassles; mainly importation and exportation of goods or services...
1 Reactions
0 Replies
809 Views
Back
Top Bottom