Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza CPU ya Computer kwa bei nafuu Ni Dell Vostro Ram 4 GB Hard Disk 800 GB Bei laki mbili (200,000/=) Ukinunua nakupa Keyboard na mouth bure Nipo DSM, Tabata Kinyerezi
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari za wikiendi pevu wadau wa JF, Kutokana na uzoefu wetu, tumeshuhudia watu wengi wakipata hasara pale wanapoagiza bidhaa nje ya nchi kutokana na sababu mbalimbali. Ni kweli kuagiza kutoka...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Honda today af61 4 stroke engine Speed 60kmh Full tank 4.5L Nzuri sana Bei 995000 Call 0774 318 626
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta gari ya kukodi yenye majina hayo hapo juu kwa ajili ya (kukodi) kazi ya mkoani, kama wewe unayo au kuna mtu unamjua anayo mpe ujumbe huu anifate private Ntampa maelezo zaidi ahsante
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naombeni msaada wenu. Ninauza kiwanja changu ili niweze kupata Mtaji maana mambo yamenibana sana. Ijapokuwa niliplani kujenga nyumba ila nimekwama na hiyo ploti ndio Inaweza kuninyanyua...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Husika na Kichwa Cha Habari Tunauza Nondo za Ujenzi Jijini Dar es Salaam 8 mm, 10 mm, 12 mm, 16 mm , 20 mm, 25 mm, 32 mm Usafiri ni Bure Kuanzia Tonne 1 na Kuendelea 1 tonne - 12 mm (40 feet)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TOYOTA I.S.T INAUZWA BEI MIL 7.5 FULL AC MZIKI MNENE NEW TYRE&RIM SPORT CC 1290 ENGINE 2NZ MWAKA 2005 KM 105000 Mahali iliko: BANANA DAR ES SALAAM.. #CALL 0683011003
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. Natafuta fundi mzuri na anaejielewa wa LED tv yangu. Ina miaka miwili na ushee ghafla juzi imeanza kuonesha nusu screen mistari chenga chenga na nusu ingine inaonesha clear...
1 Reactions
43 Replies
7K Views
Husika na kichwa hapo juu mwenye nacho anicheck kwa no 0678288666 hii kiwe used au kipya kwa bei za kitanzania.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza gari aina ya Honda Stream kwa milioni 9M haina mwezi tangu itoke bandarini Wasiliana nami kwa 0716727741
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Offer ni 800,000/= iwe na document zote, simu 0626245934.
1 Reactions
1 Replies
594 Views
Habari. Kuna ndugu ameniomba nimpostie tangazo lake. Product tajwa hapo juu inauzwa.. Vitamax double shot. Ni product kutoka Malaysia imetengenezwa kwa asali na mizizi, Haina kemikali hata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mtazamo wangu binafsi naona jamaa amefikiria vizuri sana. Serikali yetu ya CCM hii tusilaze damu tuchukue fasta. Na wapinzani nawaonya, Serikali ya CCM ikichukua huu ushauri hahahahahaha...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Gangilonga ni mabingwa kuuza computer aina zote zenye ubora wa hali ya juu bila kusahau warranti, iwe chuo au games au kazi binafsi. Pia, tunatengeneza computer zenye matatizo mbali mbali kwa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari JF, poleni na majukumu ya kila siku. Leo napenda niwajulishe kuhusu mafuta ya alizeti nauza elfu 26 kwa lita 5 kwa wakazi wa Dar es Salaam. Unaweza kuagiza popote ndani ya dar na huduma...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Toyota CHASER BALLOON GX 90 Cc 1800 engine number 4s Full tinted Full documents Reamsports Safar popote mkoa wowote call 0683011003 Location Ukonga Bei million 2.5
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Wanajamvi wajasiriamali hasa waliopo kwenye Micro Finance, watu binafsi au SACCOSS au biashara yoyote ya kukopesha fedha. Je, kati yetu kuna mtu taasisi yake au kampuni wana shida ya kupata...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hizi ni baadhi ya 3D view za design ambazo nimeziandaa, 1. Ina sitting room, three bedroom, guest room, study room, kitchen, store, public w/c Inachukua nafasi ya 222.65SQM. 2. hii ina...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta magari mawili ya chap aina ya Stalet, Ist, vitz, suzuki, platiz, spacial etc Bajeti yangu ni 3m kwa gari moja. Mwenye nayo njoo chamber tuyajenge.
0 Reactions
6 Replies
929 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…