Habari wakuu,
Maonesho ya Saba saba tuyafanyie humu jukwaani, weka bidhaa yako pamoja na bei watu tuione. Kwa kufanya hivyo utajiongezea wigo wa biashara kwa kupata wateja wengi zaidi.
Weka...
Salaam..
Naombeni msaada wa kupata ngamia wa kununua hapa Tanzania. Nahitaji wadogo kwa lengo la kufuga. Mwenye nao au anejua pakupqta naombeni msaada. Tuchekiane kwa namba 0686 666666.
Asante sana
INAUZWA
Boss anataka mtaji wa matikiti maji
ipo Kinondoni Mkwajuni
hananasif
maji yapo
umeme
panafikika
Bei 95milioni ( milioni tisini na tano tu)
mazungumzo yapo
DM ipo wazi
0713895176
0737026581
๐๐๐๐๐๐๐ kinauzwa
๐น๐ป๐ฒ๐ฌ๐ฎ: million 5.
๐ณ๐ถ๐ช๐จ๐ป๐ฐ๐ถ๐ต: kimara mwisho kwa komba.
๐๐๐๐: mita 20 kwa 12.
Mauziano ya Serikali ya Mtaa
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐: 0683011003
ษขแดสษช ษชษดแดาษชแดแด แดแดแดแดแด แดษชแดกแดษดแดแดษดษช
Habari ya mda huu, napenda kujitambulisha kwenu kuwa mimi ni dalali wa kupangisha nyumba vyumba apartments, hostels, godowns ,yards, business frames, villas, duplex, penthigh. Kuuza nyumba...
Tunauza vibubu vya kisasa kabisa.
BEI TSHS 37,000
Piga 0683011003 kwa mahitaji
Tupo Dar Magomeni Kagera
Vina password maalum za kufungulia/kufunga
Vinatumia battery 3 za size ya kati
Vipo...
Habari wakuu,nauza stand ya kuanikia nguo ya plastic kama inavyoonekana hapa chini [emoji116].
Stand ipo katika hali nzuri imetumika mwezi mmoja tu.
Mahali - Dar es salaam-Ilala-kitunda
Bei -...
Nauza Viatu vizuri vya kiume vyenye quality nzuri, Napatikana Temkeke Vetenary Dar es salaam
Nafanya Delivery Bure kwa Dar es Salaam (naleta kiatu sehem yoyote bure free Delivery malipo ukipokea...
Habari ya leo wapendwa,leo nimekuja na somo la usafi kwa wale wanao penda usafi.
Vifaa.
1.Dawa ya kung'arisha masink na Tiles
2.Gloves
3.Mask
4.Viatu vya kufinika miguu.
5.Brash ngumu kubwa...
Habari wana JF!
Mashine hii inauzwa na bado haijapata mteja bei yake ni Milioni 5 tu. Unapewa kila kitu ikiwemo; mzani wa kupima hadi kg 300, motor n.k. Haina tatizo lolote ni vile tu tajiri...
Nahitaji gari la kunyonya maji taka karo limejaa. Natumia choo cha ku-flush, kuna karo la chemba mbili (la square) na lile la maji taka la round.
Mwenye hiyo huduma ani-PM tuongee.
Sehemu ni...
Habari wakuu, naomba kufahamu jina la mashine za kuwekea stickers Kwenye simu na pc Pamoja na bei yake mfano wa sticker[emoji1313][emoji1313].
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu ujipatie causal leser bench kwa matumizi ya ofisini, dinning room, sitting room na chumbani.
Tunapatikana tabata 0767601018.
causal leser bench 150,000.
Mito 20,000 mmoja
Zulia 15,000...