Nahitaji Gari la Kunyonya Maji Taka - Karo Limejaa

Nahitaji Gari la Kunyonya Maji Taka - Karo Limejaa

Madiba

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
426
Reaction score
252
Nahitaji gari la kunyonya maji taka karo limejaa. Natumia choo cha ku-flush, kuna karo la chemba mbili (la square) na lile la maji taka la round.

Mwenye hiyo huduma ani-PM tuongee.

Sehemu ni Yombo Buza.
 
Kama linajaa mara kwa mara kuna system mpya unaweza tumia kuondoa tatizo hilo kabisa haina gharama na inatumia septic tank hilo hilo tu la nyumbani
 
Kwenye lile septic tank linafanyiwa partition kama sita ivi kila moja na kazi yake mwisho wa siku product inayotoka ni maji ya kawaida ambayo unaweza kufanya kwa matumizi kama ya kawaida(maji yanafanya recycling)nimekueleza in brief tu
 
Kwenye lile septic tank linafanyiwa partition kama sita ivi kila moja na kazi yake mwisho wa siku product inayotoka ni maji ya kawaida ambayo unaweza kufanya kwa matumizi kama ya kawaida(maji yanafanya recycling)nimekueleza in brief tu
Kwa hiyo inabidi kulifumua...
 
Endapo kama utahitaji tuwasiliane naweza kuonyesha kazi tulizofanya
 
Yah!system inabid ifumuliwe sana sana hii system kama karo lako linajaa kwa haraka so unatumia gharama kunyonya ndo unaweza ukaitumia guarantee yake ni kwa miaka 50.

Hivi unapompa mtu garantii ya miaka hamsini,kuna study yoyote mmeifanya kuonesha kwamba hicho kitu kitadumu kwa miaka hamsini?
 
Nahitaji gari la kunyonya maji taka karo limejaa. Natumia choo cha ku-flush, kuna karo la chemba mbili (la square) na lile la maji taka la round.

Mwenye hiyo huduma ani-PM tuongee.

Sehemu ni Yombo Buza.
Nenda pale sayansi Kijitonyama ndio utapata wanyonyaji
 
Hivi unapompa mtu garantii ya miaka hamsini,kuna study yoyote mmeifanya kuonesha kwamba hicho kitu kitadumu kwa miaka hamsini?
Ni scientifically calculated....designed period ipo kwa kila mrad
 
Back
Top Bottom