Habari zenu.
Nina vitabu kadhaa,nimeuza kwa online nchini,ninapenda Sasa niuze Amazon na sites zingine.
Hivyo naomba mwenye uzoefu, anipe darasa full kwa malipo
Simu: 0713039875
Nauza Line za uwakala zote 5 Voda, Tigo, Halotel, Airtel, TTCL zote zina jina moja na documents zipo km lesseni na Tin. Nipo Songea 0717802341
Bei ya jumla 350,000/= tu...
Nipigie tujadili
"IPILIMO TUAGIZE MAGARI" business under IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS... tunakuagizia gari yoyote kutoka Japan, kupitia washirika kampuni tunazofanya nazo kazi ili Kupata Gari nzuri, ya Bei nafuu kwa...
AFRICAN HANDMADE SANDALS
TUNATHAMINI PESA ZA WATANZANIA KWA KUTENGENEZA SANDALS IMARA KWA ZA KIPEKEE KWA BEI POA
Bei ya jumla 10000
Rejareja 13000
Kwa MAWASILIANO ZAIDI...
Natafuta wino unaotumika kuprint maneno kwenye mifuko ya nylon kwenye viwanda vya packaging kama inavoonekana kwenye picha
Ni Aina ya gani ya wino uliotumika andika kwenye mifuko naweza upata wapi?
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza account ipo fully approved na ina $8. Hakuna fixed price, napokea offers ikija offer nzuri biashara inafanyika.
Bid now!
Ugumu wa safari ya maisha ya huyu mwanamke ulianza sekende chache tu kabla ya kuzaliwa kwake, alikinusa kifo akiwa yeye pamoja na mama yake. Hali iliyopelekea kutokupewa jina lolote kwa sababu...
Habari wandugu.
Napenda kuwataarifu ya kwamba nauza Asali kwa Bei ya jumla. Ninauza Hadi madumu hamsini ya Lita ishirini. kwa atakayehitaji tuwasiliane. Bei ya dumu moja la Lita ishirini ni...
Wakuu nauza hii cover.. niliagiza ila kwenye gari haijatosha..
Kwa Saloon Car inafit vizuri..
Bei 80,000 tu
Location kimara..
Mwenye uhitaji anipm
Asante..
Bei ni 320,000/=
64gb|4gb RAM
In a very Good condition
▪︎Doted (ina kidoti kidogo kwa juu)
▪︎Haina mchubuko wala mkwaruzo
▪︎Nakupa wire na earphone
▪︎Sehemu yoyote unayoitaka tunaeza fanyia...
Habari Wakuu. Kuna hizi loud speaker ndogo ya kushika mkononi ambazo kwa mfano ukienda sokoni wafanyabiashara huzitumia kutangazia bidhaa zao au wengine hupita nazo mitaani kutangaza kwa mfano...
MITSUBISH CANTER INAUZWA DAR ES SALAAM.
Model ya 2001, Tani 2, no BMU, Diesel, injini 4M51A, Ipo katika hali nzuri/inambea. Haina changamoto. Melewano yapo kidogo. Gari ipo katika hali nzuri...
Pata huduma za serikali zaidi ya 130 kama vile Kupata cheti cha kuzaliwa, kupata namba ya nida, kutuma maombi ya mkopo wa elimnu ya juu, kutuma maombi ya chuo TCU, kutengeneza tin number, kuhakiki...
Habari natafta mashine ya kuchongea thread za bomba, inayoishia inch nne. 4"
Unaweza nielekeza duka, au kama unayo waweza kuja pm.
Mfano wa hizo mashine ni hizo pichani
Ndugu mteja,
Kkaribu tukuhudumie katika masala yanayohusu ufungaji wa mifumo ya umeme wa majumbani na viwandani. Tunapatikana Mbezi Beach Dar Es Salaam, na tunafika popote mikoani. Tuwasiliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.