Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau Salaam! Inaitajika Frame ya kuweka duka la vitu vya ndani (chakula na groceries) kwa jumla na lejareja, liwepo sehemu yoyote Dar yenye mkusanyiko na mzunguko mkubwa wa watu. Mwenye...
0 Reactions
3 Replies
852 Views
Nahitaji chumba na sebule ikiwezekana jiko na choo ndani maeneo karibu na morogoro road kuanzia Magomen mpaka kimara nyumba iwe nzuri ikiwezekana kuwe na geti sihitaji dalali madalali...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Imetumika miezi mitano hivi. Ni nzima kabisa, bado inafanya kazi vizuri ktk ubora wake kama ilivyonunuliwa. Upepo safi kabisa na inarotate vizuri tu. Unaweza kuikagua ukiridhika tunafanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hi HJF, Natafuta kontena la futi 20 la kununua, naomba kama kuna mahali wanauza kwa Dar unielekeze, unaweza kuni-PM Thanks
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wenye uzoefu wa biashara hii, hoteli za bei nafuu Kigoma, sehemu ninnayoweza kupata mzigo kwa bei ya jumla na mtaji kiasi gani kuanzia?
3 Reactions
115 Replies
36K Views
je una bidhaa ambayo unataka kuiuza? karibu tukuuzie bidhaa yako iliyotumika , jiunge na group letu la whatsapp https://chat.whatsapp.com/FVBnU70HjaE2pyVxB7nTth
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salamu, Wakuu nitakuwa Dodoma Siku ya Leo na kesho pia. Je, naweza kupata wapi jezi za Yanga za msimu huu? Zilizozinduliwa Jana.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello! Je, wewe ni mfanyabiashara na unapata shida katika kusafirisha bidhaa zako kwenda sehemu moja kwenda nyingine au kuweka record ya mauzo yake pata suluhisho kwa kutengenezewa Vitabu...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mwenye kuja bei za hivi viatu na wapi na weza kuvipata kama unaweza hata number nipe
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Gari ni mpya haina changamoto yoyote ile kuanzia gear box.. haijawahi kupata ajali location: dar es salaam, call us 0683011003
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kifaa hiki unaweza funga kwenye bajaji au gari na ukapata mzk mkubwa sana Bei 35,000 tu Dsm Goba hapa 0766 102 710
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hizi mbegu pamoja na majani,magome na mizizi ya mti wa Mlonge vimekuwa na faida nyingi za kiafya kwa watu. Sasa kuna eneo moja huko mikoani nilikoenda kutembelea ndugu zangu nimekuta hiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi. Natarajia kuanzisha biashara ya muziki kwa maana ya kukodisha muziki. Lengo la kufungua uzi huu ni kupata ushauri juu ya vifaa na taratibu zingine. Kwa kifupi ndio nataka...
0 Reactions
15 Replies
33K Views
Wakuu hongereni kwa kukubali tozo zote Mi hitaji langu nahitaji jezi kwa bei ya jumla zle jezi ambazo znauzwa kkoo na machinga elfu tano tano ndo nazitaka hizo ila iwe kwa bei ya jumla Nahitaji...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Jina:Shabani Mnkai. Makazi: Dodoma,Tanzania. Kata:Nkuhungu. Mtaa:Mtube Fani: Mtaalamu wa masuala ya Ushauri Nasaha na Unasihi (Profession in Guidance and Counselling. Karibu nikuhudumie kwa...
0 Reactions
2 Replies
650 Views
Ndugu yangu anauza kabati la aluminium, alikua anauza nguo Lipo magomeni usalama Bei laki 2 Unaweza kuuzia nguo au stationery au dawa nk nk Ukitaka njoo pm nikupe namba yake
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nauza Generator langu lenye specifications zifutatazo. Asking Price.. 1,400,000/= (Mazungumzo kidogo yapo) Mahali : Dar es Salaam Brand ~ ProMax 7500EA Rated Power( cop) ~ 6.0 kW Rated...
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Nyumba inauzwa ina vyumba vitano,gharama ni Tsh.19,000,000/= , ipo Pugu Kigogo Fresh/Pugu Station . Ina Sebule ,master moja, choo cha ndani ,vyumba vitatu vya kawaida.Karibuni maongezi ya bei...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Tunatoa huduma za Usafirishaji wa Mizigo kutoka Dar es Salaam kwenda Mikoa yote Tanzania Karibuni Sana kwa Huduma Bora na za Haraka za Usafirishaji wa Mizigo. Tunapatikana Kiungani&Lumumba...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nahitaji kleti tupu za bia kama pic 100 Napatikana Mbezi Mwisho Call+sms and wapap 0715088880
1 Reactions
0 Replies
732 Views
Back
Top Bottom