Ndugu nadhan wakati mwngn hata kukaa kimya tu ni hekima ujuaji ujuaji dunia ya leo utakuwa shoga ni vema ukawa mskilizaji zaidi kuliko msemajiKuna hawa wachina wako pale buguruni stend ya zamani ya muhimbili,
Wanazifyatua kwa 3,500 kwa catoni moja ya PC 100View attachment 1907573
[emoji38][emoji38]
Kuna hawa wachina wako pale buguruni stend ya zamani ya muhimbili,
Wanazifyatua kwa 3,500 kwa catoni moja ya PC 100View attachment 1907573
Nmekujibu Kama ulivyouliza, Sasa matusi ya niniNdugu nadhan wakati mwngn hata kukaa kimya tu ni hekima ujuaji ujuaji dunia ya leo utakuwa shoga ni vema ukawa mskilizaji zaidi kuliko msemaji
Mkuu naweka kambi hapa na mimi nijue,hili gepu lina soko pana sana hasa mikoani huko.Wakuu hongereni kwa kukubali tozo zote
Mi hitaji langu nahitaji jezi kwa bei ya jumla zle jezi ambazo znauzwa kkoo na machinga elfu tano tano ndo nazitaka hizo ila iwe kwa bei ya jumla
Nahitaji za juu tu yaani tshirt za msimu huu.
0629 945 110
Hawa jamaa hashindwagi na kitu, wanaweza hata kukutolea IPhone 12 promax kwa 100k.Kuna hawa wachina wako pale buguruni stend ya zamani ya muhimbili,
Wanazifyatua kwa 3,500 kwa catoni moja ya PC 100View attachment 1907573
Mtoa mada nmemuelekeza kwa hao wachina,Hawa jamaa hashindwagi na kitu, wanaweza hata kukutolea IPhone 12 promax kwa 100k.
Ni wewe tu na hela yàko, wao hawaachi hela [emoji23][emoji23][emoji23]
Sure mkuu, mchina hakwepeki kwa sisi wstafuta rizk ambayo ni hand to mouth.Mtoa mada nmemuelekeza kwa hao wachina,
Nashangaa kaanza kunirushia matusi.
Kama anachuki na wachina Bora TU Angekaa kimya, Ukitaka bidhaa ya Bei rahisi mchina hakwepeki
Mtoa mada amekasirikaMchina hata ukitaka kondomu ya shs 20 kwa pakti anakufyatulia.