Huduma za Kisaikolojia

Huduma za Kisaikolojia

Dom2

Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
74
Reaction score
99
Jina:Shabani Mnkai.
Makazi: Dodoma,Tanzania.
Kata:Nkuhungu.
Mtaa:Mtube
Fani: Mtaalamu wa masuala ya Ushauri Nasaha na Unasihi (Profession in Guidance and Counselling.

Karibu nikuhudumie kwa huduma na msaada wa Kisaikolojia.

Matatizo ya Kisaikolojia yasipotibiwa mapema hupelekea tatizo la akili na mwishowe hupelekea magonjwa ya Akili.

Chukua tahadhari,afya ya akili ndio ustawi wa afya yako.

Pia natoa Mafunzo ya Kisaikolojia kwa taasisi mbali mbalimbali mfano kwenye shule.
NB:Kumbuka,tatizo au ugonjwa wa akili hauchagui Elimu,Rangi,Utaifa,Jinsi,Utajiri au Umaskini.Yeyote anaweza pata tatizo la akili au ugonjwa wa akili.
Instagram😛rofession_al_counselor.

WhatsApp na mawasiliano ya kawaida:0713068762.
View attachment 1908161
 
Andaa semina kwa vijana waliomaliza shule na hawana ajira,wengi wao akili zao zina shida kubwa.
 
Back
Top Bottom