Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari njema kwa wateja wetu wa @unique_aircargo SASA UNAWEZA KUSAFIRISHA MZIGO WAKO KUTOKA CHINA KUJA TANZANIA KWA SIKU MOJA TU[emoji4][emoji6]. Batch ya kwanza ndo inaanza week hii na mwisho...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Anajulika kama Mtanzania wa kwanza kusoma Stanford na Harvard. Al maarufu kama mtanzania aliyekataa mshahara wa zaidi ya 400 ml. Ni yule yule CEO wa Kampuni ya levels za kimataifa --NALA. Ameweza...
17 Reactions
125 Replies
15K Views
ram 2gb rom 32gb simu haina changamoto yoyote napatikana kariakoo Dsm sms 0625750755
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavojieleza mm naishi hapa njombe ninaitaji simu used anaeuza please anatafute kwa namba hii 0620860951 shart awe mtu Wa njombe. Natanguliza shukrani
1 Reactions
1 Replies
820 Views
Sisi wataalam katika kuandaa na kuandika maandiko miradi, maandiko ya kuomba ruzuku/Grants, na pia kukuwezesha kupata volunteers/interns kutoka nje (USA na Canada). Karibu tuzungumze! Pia...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu wandugu? Ninazo tiles zitokanazo na mawe halisi ya Tanga stone (slate stone) yanapatikana kwa kiasi chochote na ninauza kwa squre meter. Vile vile ninapokea oder kwa design (cutting...
0 Reactions
24 Replies
18K Views
Ninatafuta fundi mzuri wa nguo za kike. Hasa kushona vitenge. Mishono simple inayowwza kuvaliwa ofisini na kanisani. Kwa Dar.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari ndugu, nauza kiwanja kipo maeneo ya mji mpya kimara B dar es salaam maarufu "kwa senga" Kiwanja hakiko square hivyo urefu na upana hauko sawa . Kwa urefu upande mmoja ni 63ft na mwingine ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu Habari. Kama kichwa cha habari kinavyoonekana, bajeti yangu ni milion 22 Na naitaji Gari aina ya Fuso Kwa yeyote anaeuza basi anidm tufanye biashara NB: Itapendeza kama biashara itatoka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kuelekezwa magari ya kubeba mizigo kupeleka mwanza hupatikana maeneo gani kwa Dar. Na gharama zake zipoje?
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Nauza hii, (mnyama) naitumia mwenyewe 1G kavu engine.... Haijafunguliwa Full AC Clean na haina uchakavu ndani New bettry Matairi mazima kabisa na spea yake Automatic door locking Mziki mnene...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimejaribu kuweka baadhi ya vitu vichache ambavyo huenda watu wanavifanya na vinaleta shida. Natambua kwamba vipo vingi ila nimeandika vichache tu. Kama kuna mtu anaweza kuongezea, karibu. Okay...
17 Reactions
98 Replies
18K Views
Usiharibu gari yako kwa Spacer nitafute kwanamba +255742662669 kwa sport shock-ups zasaizi yauvungu unaouhitaji katika gari yako.Kwa spare nyingine za Magari pia karibu Dukani Mwananyamala Komakoma.
2 Reactions
60 Replies
11K Views
Nahitaji kununua kiwanja maeneo ya Kiluvyaa, Kibaha, Bagamoyo,Tegeta na Boko.
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nahitaji kupata chumba cha kupanga kwaajili ya dogo amechaguliwa DIT hatutaki awehostel, kwa yeyote mwenye kuwezesha upatikanaji wa chumba tafadhari anifahamishe
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Kichwa tajwa hapo juu chajieleza kwa mwenye kuhitaji mfuko wa tani moja kwa ajili ya kuhifadhia vitu vyako mazao , kubebea mizigo mbali mbali Kama mitumba na bidhaa nyingi kwa wakati mmoja usisite...
2 Reactions
40 Replies
5K Views
.
0 Reactions
0 Replies
523 Views
Shule ya St Jude itakuwa na mnada wa kimya kwa ajili ya kuuza vitu zaidi ya 6,000, vipya na vilivyotumika! Hii si ya kukosa. Tarehe: Ijumaa Septemba 17 Muda wa kuangalia: Saa 4 hadi 4:30 asubuhi...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahitaji mtu mwenye ujuzi wa maswala ya biogas hasa kuunda mitambo ya kuzalishia biogas. karibu pm kwa mazungumzano zaidi.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Rola moja ya senyenge ina urefu wa mita 600,na senyenge ina unene wa milimita1.6. Senyenge hizi hazishiki kutu(galvanized). Inafaa kwe fensi ya nyumba,maboma ya mifugo,shamba,nk. Bei kwa...
1 Reactions
13 Replies
9K Views
Back
Top Bottom