Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kimara B Dar es Salaam

Maulid jnr

Member
Mar 25, 2021
64
57
Habari ndugu, nauza kiwanja kipo maeneo ya mji mpya kimara B dar es salaam maarufu "kwa senga"
Kiwanja hakiko square hivyo urefu na upana hauko sawa . Kwa urefu upande mmoja ni 63ft na mwingine ni 57ft , upana upande mmoja ni 55ft na mwingine 44ft.
Kiwanja kimejengewa fence na kuna nyumba ndogo "chumba kimoja" moja na mabanda ya kufugia kuku. Kuna karo la maji taka tayari. Umeme na maji viki karibu sana na kiwanja.

Eneo limejengeka na barabara zipo hadi site.

Bei milioni 18 "maongezi yapo "

Nicheki kwa namba hii kwa maelezo zaidi asante

IMG_0575.jpg

IMG_0574.jpg

IMG_0569.jpg

IMG_0568.jpg

IMG_0566.jpg

IMG_0565.jpg

IMG_0546.jpg

IMG_0548.jpg

IMG_0555.jpg

IMG_0548.jpg

IMG_0548.jpg

IMG_0546.jpg

IMG_0546.jpg

IMG_0540.jpg

IMG_0540.jpg

IMG_0539.jpg

IMG_0539.jpg

IMG_0544.jpg

IMG_0544.jpg

IMG_0543.jpg

IMG_0543.jpg

IMG_0541.jpg

IMG_0541.jpg

IMG_0561.jpg

IMG_0561.jpg
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom