Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba kubwa sana Inapangishwa Mbagala kiburugwa ( Njia ya kwenda Kiwanda cha cement Camel) ipo barabarani kabisa 🟠Room 3 , 2 Master bedrooms 🟠 Jiko 🟠Public Toilet Ndani 🟠dining 🟠sittting...
0 Reactions
0 Replies
663 Views
• Direction: Fire area • Rent: TZS 500,000/month • Terms: 6 months • Monthly service charge: TZS 30,000 • Viewing charge: TZS 20,000 • Brokerage fee applies . unfurnished • 3rd floor (no lift) • 1...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
• Direction: Kigamboni Gezaulole, 13 km from Ferry • Rent: TZS 1,000,000/month • Terms: 6 months • Viewing charge: TZS 20,000 • Brokerage fee applies . √ standalone √ 1 master & 1 common bedrooms...
0 Reactions
0 Replies
453 Views
Nyumba nzima inapangishwa maeneo ya mbagala sabasaba nyuma ya Tayma hospital mita10 kutoka stend ya mwendo kasi na kituoni Sifa ya nyumba 1. Nyumba ina vyumba 6 2. Vyumba vya kulala 3 kimoja ni...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Nyumba inatafuta mpangaji, mpangaji amehama jana tar 04/Dec/2022. Location-Kimara stopover Kodi-450K per month Ulipaji-Kila baada ya Miezi 6 Vyumba vi3 (Kimoja masters)...
0 Reactions
2 Replies
723 Views
Nyumba ipo Argentina karibu na kituo cha mwendo kasi gari inafika mpaka mlango jiko mnatumia watu wa wili na choo mnatumia watu waili maji yapo umeme kwa mwezi 20k unawaka 24h
0 Reactions
8 Replies
621 Views
FANYA BOOKING YAKO YA USAFI TUPIGIE SASA....[emoji337][emoji337][emoji337][emoji337] [emoji120] UTAPATA HUDUMA YA USAFI WA NYUMBA YAKO NA OFISI YAKO KWA GHARAMA NAFUU KABISA, USAFI WA:-...
0 Reactions
0 Replies
495 Views
Habari wakuu kuna Frem za biashara mtaa wa Masasi na Msimbazi jengo jipya zinapangishwa. Gharama za frem ni Milioni 9 kwa mwaka pamoja na 500,000 ya udalali. Frem hizi zinafaa kwa mtu mwenye...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ina Chumba na Sebule na Jiko plus Choo Ipo karbu kabsa na Morogoro Road bei 120,000/= *Maji *Parking Space 0753595520
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Nyumba ya ghorofa inapangishwa kwa laki tano (500,000 Tsh) maeneo ya mtaa wa Chang'ombe B karibu na kituo cha Serengeti. Kinachopangishwa ni hiyo ghorofa ya juu. Ipo mtaa mzuri sana nyumba...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Kama kichwa kinanyojielezea nyumba ya vyumba vitatu vya kulala kimoja master sitting room, dining na jiko na Choo cha public nyumba ni mpya kabisa ina eneo kubwa la kulaza ata gari 4 na tenki la...
0 Reactions
1 Replies
652 Views
Nyumba inapangishwa Tabata shule. Nyumba ipo ndani ya fensi ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, choo cha ndani, maji ya bomba. Kodi laki mbili kwa mwezi Call me 0747744895 Mnakaribishwa.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni Apartments zenye nyumba Nne za Ghorofa ( Up &Down ) Ndani ya Fence yenye eneo kubwa na lenye utulivu wa kutosha, Huduma zote muhimu (Maji ya Dawasco, Umeme na barabara inayopitika vizuri 300m...
1 Reactions
120 Replies
17K Views
Chumba na sebure vinapangishwa kinyerezi kabla ya kufika kabisa la Roma stand ya zamani unaingia ndani kidogo karibu na msikiti wa kimbekete na karibu na transfoma ni karibu na kituo Cha magari...
2 Reactions
4 Replies
724 Views
Habari wadau. Vyumba vizuri vyenye furniture zake ndani vinapangishwa Ubungo Riverside. Vyumba hivi vina kitanda 5 x 6 na godoro, meza za kusomea, sehemu za kuwekea vitabu ama vitu Vyumba hivi...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama wewe ni dalali uliobobea unaruhusiwa kushiriki nasi. Hii inakuhusu. Nyumba na kiwanja kikubwa karibu na shule ya renea Njiro inauzwa. Ina kiwanja kinachojitosheleza kuendelea kuijenga au...
0 Reactions
5 Replies
994 Views
Mgahawa/ Bar ipo maeneo ya sinza mugabe. Kodi ni laki tatu na nusu maongezi yapo. Unakodishiwa viti pia na eneo ni kubwa la kutosha.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za mwaka mpya ndugu zangu ma GT. Leo nawaletea habari nzuri, kuwa nina nyumba 3 nazipangisha KODI kwa mwezi ni shilingi 100,000/= tu. Pia jinsi gani ya kilipia Kodi yako ya mwezi utachagua...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
#Kigamboni city. Apartment for rent. Tsh 250,000/= tu Chumba kimoja Cha kulala ambacho ni Master. , ukumbi na jiko. Zipo nyumba 9 zinatumia geti moja kuu, pia Kuna ghorofa ambapo ground floor...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Call 0652 180 400 Kigamboni city apartments for rent. One Master bedroom, kitchen and hall. Price is 200,000 / = Tsh Per month. They depend on everything water and electricity.
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Back
Top Bottom