NANGAI MSUMI
Senior Member
- Apr 12, 2015
- 146
- 94
Call 0652 180 400 Kigamboni city apartments for rent. One Master bedroom, kitchen and hall. Price is 200,000 / = Tsh Per month. They depend on everything water and electricity.
Mwanangu mbona unapost usiku wa manane? Hizo nyumba zako kweli au ww dalali tu?Chumba kimoja Cha kulala Master,jiko na Ukumbi, Zipo Nyumba Tisa sehem moja.zimejengwa Kwa mpangilio wa kisasa. Zinajitegemea maji na umeme. Pia Ndani kunajengwa supermarket. Tsh 200,000/= Kwa mwez.karibuni SanaView attachment 2193517View attachment 2193518View attachment 2193514View attachment 2193515View attachment 2193516
Sasa mkuu unazungumzia Majoe na Kigamboni mi Kama unazungumzia ncji mbili tofauti. Kigamboni n sehemu ya KISHUA. Ndio maana unakuta vitu ni gharama hasa nyumba na Viwanja. Thamani ya Nyumba au kiwanja ni wapi kinapatatikana. (LOCATION). tambua ilo Kuanzia LeoCall 0652 180 400 Kigamboni city apartments for rent. One Master bedroom, kitchen and hall. Price is 200,000 / = Tsh Per month. They depend on everything water and electricity.. View attachment 2189342View attachment 2189343View attachment 2189344View attachment 2189341View attachment 2189345View attachment 2189346
Hahahaha. Elimu Elimu ElimuMwanangu mbona unapost usiku wa manane? Hizo nyumba zako kweli au ww dalali tu?
Sasa mkuu unazungumzia Majohe na Kigamboni mi Kama unazungumzia nchi mbili tofauti. Kigamboni n sehemu ya KISHUA. Ndio maana unakuta vitu ni gharama hasa nyumba na Viwanja. Thamani au gharama Nyumba na kiwanja ni wapi kinapatatikana. (LOCATION). tambua ilo Kuanzia LeoWakati majohe napata vyumba viwili masta sebure na jiko kwa laki na nusu.
#MaendeleoHayanaChama
Nani kakuambia Kuna maji ya chumvi? Kigamboni ni maji baridi kbs yakisimaShida ya kigamboni ni maji tu, habar ya kuanza kutumia maji ya chumvi jau sana
Sema ndani kunajengwa duka mkuu...Chumba kimoja Cha kulala Master,jiko na Ukumbi, Zipo Nyumba Tisa sehem moja.zimejengwa Kwa mpangilio wa kisasa. Zinajitegemea maji na umeme. Pia Ndani kunajengwa supermarket. Tsh 200,000/= Kwa mwez.karibuni Sana.
View attachment 2193518
Call 0652 180 400 Kigamboni city apartments for rent. One Master bedroom, kitchen and hall. Price is 200,000 / = Tsh Per month. They depend on everything water and electricity.
View attachment 2189346
Shida ya kigamboni ni maji tu, habar ya kuanza kutumia maji ya chumvi jau sana
Hahahaha. Ila duka lenyewe litakuwa kubwaaaaaaaaaaaa.Sema ndani kunajengwa duka mkuu...
Kodi Kwa mwez ni Laki mbili. Dalali n maelewano. KaribuKigamboni city appartments zipo sehemu gani ? Umbali ni kiasi gani from barabara kuu ? Na je Kuna hela ya udalali au ndo kodi moja kwa moja chief ?
Kigamboni ipi hizi nyumba zipoSasa mkuu unazungumzia Majoe na Kigamboni mi Kama unazungumzia ncji mbili tofauti. Kigamboni n sehemu ya KISHUA. Ndio maana unakuta vitu ni gharama hasa nyumba na Viwanja. Thamani ya Nyumba au kiwanja ni wapi kinapatatikana. (LOCATION). tambua ilo Kuanzia Leo
Hujamjibu mkuu, naona maswali aliyouliza hujajibuKodi Kwa mwez ni Laki mbili. Dalali n maelewano. Karibu
Anachukua kodi ya mwezi mmoja au miezi 3,6 au mwaka? Na wewe dalali utataka laki 2?Chumba kimoja Cha kulala Master,jiko na Ukumbi, Zipo Nyumba Tisa sehem moja.zimejengwa Kwa mpangilio wa kisasa. Zinajitegemea maji na umeme. Pia Ndani kunajengwa supermarket. Tsh 200,000/= Kwa mwez.karibuni Sana.
View attachment 2193518