Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba linaukubwa wa heka 1. Lipo Lushoto Tanga. Shamba lipo kando ya chemchem kama inavyoonekana kwenye picha. Shamba la kulima safi kabisa. Piga simu0712773128. Bei milioni 8 na maengezi yapo.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Tecno is one of the makers making great progress in the budget and midrange segment in the past year. Its Camon 17 series offered large screens, ample battery life and respectable cameras and we...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
DEPO YA VINYWAJI INAUZWA KAHAMA Nahusika na uuzaji wa bia za kampuni ya TBL pamoja na soda za kampuni ya COcaCola, pamoja na pombe zingine kama konyagi, kvant n.k.Kwa ujumla mzunguko ni mkubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye harrier new model budget yake isizid 15M mwenye nayo anipigie 0744551655 tufanye biashara.
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Plot Zipo cheka kigamboni zimebaki mbili Kwa pamoja Bei ya awali ml 4 kila moja sasa Bei ya punguzo kwa zote mbili ml 5.5 Ukubwa no 20×20 zipo karibu na chuo Cha Silva una weza Jenga hostel...
0 Reactions
6 Replies
991 Views
Zile taa za picha ya piano bado zipo sasa bei imepungua offer ya mwisho wa mwaka ilikuwa 20,000 ila sasa ni 15,000/=tu Inamwanga unaopendezesha ndani ikiwaka picha nzuri kabisa ya piano Unaweza...
0 Reactions
0 Replies
600 Views
Tunakuletea NMB salary advance! Huduma ya kukuwezesha kupata pesa kabla ya siku ya malipo ya mshahara. Huduma hii ni kwa waajiriwa wa taasisi zote za serikali ambao mishahara yao inapitia NMB, na...
0 Reactions
25 Replies
16K Views
Ndugu zangu naombeni mwenye kufahamu zinapopatikana mashine za kufyatulia tofali za udongo ambazo huchomwa. Nimeambatisha picha, ni vyema zaidi nikafahamu na bei ya mashine yenyewe. Shukrani...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Ramani ya vyumba vitatu , chumba kimoja masta, sebule na choo cha kushea, Ukubwa wa Ramani ni mita 9/kwa mita9/...kupata Ramani yake tuwasiliane 0627571649.
0 Reactions
28 Replies
9K Views
Nauza printer mpya Epson L810, inaprint picha, CD, ,business card za pvc n.k. Bei ni shilingi laki saba na nusu (750, 000). Bei ya shop ni mpaka mil.1. Nicheki 0713767579
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Inafaa Kwa Matumizi mbalimbali. Bei:45 ML
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu. Jamani haka kagari nimekapenda. Engine yake ndogo 1090cc, kamenyanyuka juu halafu ni Manual. Nataka kukanunua kwa matumizi ya kuendea kazini. Nisaidieni ushauri kwa wanaojua gari...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Gari iko vizuri sana katika idara ya mafuta haina AC. Imepigwa polish tu kwa ajili ya kuing'arisha. Ipo Temeke, DSM Call me 0713096076
0 Reactions
1 Replies
1K Views
150K FIXED. call & whatsap 0654234567
1 Reactions
1 Replies
495 Views
Habari za kazi wakuu, Kwa majina naitwa Hagai Anyimike, ni Fundi Simu, Radio, Tv na vifaa vingine vya umeme, lengo la kuandika uzi huu ni ombi kwenu hasa wakazi wa Dar es Salaam ikiwa unahitaji...
4 Reactions
35 Replies
8K Views
HALOTEL ni mtandao mpya wa simu Tanzania Uliosambaa Sehemu Kubwa, Huduma Nzuri, Bora na Bei Nafuu. Huu ni utambulisho wa Huduma na Bidhaa za HALOTEL.
10 Reactions
459 Replies
114K Views
Wauzaji wa samaki wa maji chumvi aina zote na bei raisi tupo DAR kivukoni,tunakuletea mpaka ulipo lakini tunakusafirishia Kama upo nje ya DAR. Call/SMS 0711756654 na WhatsApp 0719438200
3 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari nauza pikipiki aina ya tvs 125(used),iko dar es salaam kijichi. Bado iko vizuuri sanaa,injini haimjui fundi, full documents,na bado ina bima. Bei ni 1450,000 (mazungumzo yapo) ukihitaji...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zanguni heshima kwenu! Jamani nimedondosha digital camera imekata kile kikaratasi kinachounganisha mawasiliano ya screen na camera yote, imesababisha camera ikiwaka kunakuwa na gizo tu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mkazi wa Dsm..yeyote ambae ana dish la satelite,yale meupe, ya bati,la futi 8,naomba anicheki inbox tufanye biashara..nna matumizi nalo..liwe Used,sitaki jipya Mfano wa dish hilo ni kama hilo...
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…