Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,536
- 3,885
Nauza baiskeli ya watoto.
Haina tatizo lolote.
Baiskeli ni mpya.
Haijatumika sana.
Ipo tu ndani muda wote.
Inafaa kuendeshwa na watoto umri wa miaka 4 mpaka 8.
Ukihitaji tairi za pembeni nakuwekea.
Bei ni 120,000 mwisho 110,000.
Mahali: Buza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawasiliano 0769763538
Haina tatizo lolote.
Baiskeli ni mpya.
Haijatumika sana.
Ipo tu ndani muda wote.
Inafaa kuendeshwa na watoto umri wa miaka 4 mpaka 8.
Ukihitaji tairi za pembeni nakuwekea.
Bei ni 120,000 mwisho 110,000.
Mahali: Buza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawasiliano 0769763538