Mkuuu, huyu sio Pure Gs.Habari wana jamvi,
Ninauza mbwa aina ya GSD PURE kwa bei rafiki kabisa ya kufungia mwaka.
Tsh 900,000 tu. Ana mwaka mmoja na chanjo zote muhimu kachomwa.
Karibuni sana.
Mawasiliano 0683 999 855.
Dar es Salaam- Kigamboni.
View attachment 2054550
View attachment 2054551
Ata mama yako piapure ni mjombaaa ako
hongeraa sanaaaAshauzika mbona.
Wasukuma bado wapo mjiniAshauzika mbona.