Kwa UNYENYEKEVU mkubwa nawahabarisha kwamba
Hostel Vyumba 14 inapangishwa/kuuzwa
Eneo Malimbe: Mwanza Chuo Cha SAUT
Bei: Milioni 6 tshs kwa mwaka Kupangishwa / Milioni 180 tshs kuuza (mauzo...
Wakuu niko Moro nilikuwa nataka chumba kimoja chenye choo ndani bajet 40000 hela ya dalali wakuu hali sio shwari kodi ipo ya miezi 3.
Msaada mwenye connection
Una uhitaji wa issues za stationery kama..
Photocopy
Printing
Binding
Lamination
Basi usihangaike tena.
Ninatoa hizo huduma, kwa wakazi wa Dar Es Salaam na kwa wale wa mikoani naweza kukutumia...
Habari wadau ..
Nauza Azam tv ya antena kwa 80000 tu..
Nimenunua 99000 (pamoja na antena yake)..
Sijawahi kutumia kwasababu naishi nje ya mji sana hivyo hakifanyi kazi..
0622 050591
0765...
Kwa maswali na maongezi zaidi nitafute kwenye number 0686819779..
Gharama za usafiri ni juu yako..
Naviuza sababu naamia Arusha na sioni sababu ya kusafiri navyo itanicost mno bora nkanunue vipya...
Tunazo mashine za kuchomea vyuma (welding mashine) nzuri na imara sana. Tunazo mashine za kuchaji betri za magari ambazo ni imara sana.
Je unataka kufungua ofisi yako ikuingizie kipato? Au...
Habari ndugu zangu...kam mjuavyo mtu ni afya na afya haiji bila kula...
Karibuni niwauzie sembe yenye ubora kwa jumla na rejareja
25kg-25500 (jumla),26000 rejareja
10KG-11000(jumla).
5kG-5500...
Karibuni Ndugu zangu wana Jamii forum katika uzi huu upate nunua/Agiza Gari kutoka CARHUNT JAPAN
Katika uzi huu nitaweka Bei ya Gari ambayo itajumuisha Bei ya Gari na Usafirishaji (C&F), Gharama...
Jipatie 13mm Powerful impact drill mpya yenye (550W) full set kwa TZS 120,000/= ikiwa na TOOLBOX.
Ina waranty ya mwaka mmoja ikiwa na..
1. Bit set za Chuma, Mbao, Ukuta na Aluminium na vifaa vya...
Habari ya mwaka mpya wakuu, mwaka wa 2022. nawatakia kila la heri yote, sasa natafuta machine ya kutengeneza juice ya miwa, machine mpya, ni wapi naweza inunua au ni wapi naweza enda kuangiza...
Nauza kisimbuzi changu cha Azamtv bila dish, tena kisimbuzi hiki ni cha Kenya yaani package ya kuangalia NBC Premier League wewe utatazama kwa kulipia 13,000/= tu badala ya elfu 20,000/= Na...
Je umewahi kuahirsha jambo lolote lile katika maisha au biashara? Umewahi kuahirisha jambo dogo au kubwa kwa umuhimu?
Kuahirisha ni tabia ya kuacha kufanya jambo fulani na badala yake unafanya...
Wakuu, naomba kuelekezwa pahala ambapo naweza kununua mashine ya kupasua mbao. Hii iwe ni ya kuhamisha na kwa vyovyote vile isiwe inatumia umeme. Isiwe chainsaw maana inaharibu mbao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.