Naomba kujuzwa chimbo la vyombo kariakoo

Naomba kujuzwa chimbo la vyombo kariakoo

Misunderstood

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2020
Posts
392
Reaction score
896
IMG_2945.jpg

Hasa sufuria kama hizi kwa bei nzuri ambayo ni affordable, asanteni
 
Wewe nenda tuu Kariakoo; usiingie mafukano nunua kwa wamachinga wakioko nje. Beizao huwa pungufu kea 30k ukilinganisha na walio kwenye fremu.
 
Msimu wakorosho tayari nn ....wewe nenda mojakwamoja kuuliza uliza humu utashanga siku wanakukuta kilwa kivinje wakajua machinga huyu ndo yuleyule
 
Nenda mtaa wa sikukuu na agrey Una Anza kukutana na maduka ya jumla panda na agrey mpaka mpaka mtaa wa Swahili ni vyombo mpaka mtaa wa Livingstone ni vyombo tu
 
Mtaa wa aggrey kuna maduka wanaita kwa wachina, vyombo ni bei nzuri...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom