Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza simu, one plus 6t Gb8 ram, rom gb 128 Imetumika miezi miwili tu (imenunuliwa December 2021) haina tatizo, bei 800,000 call me 0713096076 Ipo Tanga
1 Reactions
9 Replies
909 Views
Habari ya mchana wakuu, nina tani 1.5 ya maharage ya njano mviringo (goroli) kutoka Songea, gunia tatu ni maharage niliyovuna June 2021 na yaliyobakia nilivuna March 2021. Mali ipo tandale sokoni...
7 Reactions
19 Replies
4K Views
Habar zenu wana jf, nimeanza ujasiliamali kidogo kidogo kwa kulima shamba la Alizeti na kwa sasa nahitaji mashine kwa ajiri ya kukamua mafuta. ni wapi naweza pata mashine.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna matapeli maarufu kwenye mtandao wa Instagram, hii account yenye jina la zanzibar_electronics_og ni matapeli ambao ukiangalia utadhani ni wafanyabiashara wakubwa kulingana na followers...
7 Reactions
29 Replies
5K Views
Smartphone for Sale Grab this Offer Now! Xiaomi Redmi 7 Rom: 32 GB ( store more videos, photos,etc) Ram : 3 GB Condition: Used but still in a good condition Battery: 12 hrs + Delivery: From Dar es...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Offer yangu ni 150,000/= Nicheki kupitia 0625575831 Location Dar
0 Reactions
6 Replies
629 Views
Fursa pekee hii inawajia wale walioamua kumtukuza Bwana kupitia kwa vipaji vyao vya kuimba. Kuna web series (show itakayokuwa inarushwa mitandaoni) iko katika hatua za mwisho kuanzishwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ni inch 16,imara sana...nauza 200k
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Siku chache zilizopita nilikuwa nauza Pasi aina ya Phillips, (original) kwa mlionunua na kuzitumia mnaweza kushuhudia ubora wake! Baada ya kumaliza pasi sasa Nina CARDETS ORIGINAL KABISA...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
husika na kichwa cha habari nina kama milioni tatu keshi hapa 3,000,000/= nahitaji usafiri wa kupigia misele hapa mjini mwenye nalo aje dm tuyajenge...location Dar
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mfanyakazi wa kike anahitajika Mawasiliano: 0684054688
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Fursa ya Ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa ni kubwa sana nchini.Kwa wastani Tanzania huzalisha maziwa lita bilion 3 kwa mwaka huku karibu lita bilioni 1 pekee hutokana na ng'ombe wa kisasa. Hata hivyo...
2 Reactions
5 Replies
11K Views
Habari za Leo Wakuu, Husika na Kichwa cha Habari, Nnauza Cherehani Mpya Inayoshona na Kudarizi kwa Kutumia Computer. Mashine hii niliigiza from USA, ili Nije Kuitumia kwenye shughuli zangu za Ku...
2 Reactions
38 Replies
17K Views
Habari Wana Jamie forum Nahitaji msaada kwa mwenye Tonner za rangi nne 1.616c Tonner ndogo 2.622Y tonner kubwa Naomba bei pia nitumie picha kuhakikisha kama ni wenyewe Nahitaji Box 100 plus...
2 Reactions
4 Replies
760 Views
offer Galaxy s8 GB 64 Bei 250k top Mabibo DSM 0766345199
1 Reactions
8 Replies
962 Views
Guys kuna darasa la mapishi ya cake za kila aina. Mafunzo ni online kwa namba na mail zilizopo. Tuwape suport wadogo zetu. Kwa wakazi wa Dar yupo dada Loveness huko ilihali kwa wakazi wa Iringa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale wataoweza mikoani Mimi nipo Dodoma nauza sponge za kutengeneza masofa wanaziiita SHEET kitaalamu hizi ni zile chakavu tunauza kwa kilo kama wewe ni fundi hii kutasaidia kukupunguzia...
0 Reactions
3 Replies
777 Views
Karibuni Sana raba Kali za watoto size zilizopo Ni kuanzia size 18_size 38 raba Ni full box nzuri Sana. Bei ya jumla kuanzia pear tano na kuendelea sh 15,000 na Bei ya reja reja Ni 17,000 tu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu, I hope mpoo good na mapumziko ya wiki leo ni Jumamosi kwetu tumeamka na mvua ya upepo fulani hivi. Anyway twende kwenye mada husika hapo juu, moja ya moment nzuri ninazo zikumbuka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Redmi Mobiles Phones Redmi note 10 4/64 470,000/= Redmi note 10 4/128 540,000/= Redmi note 10 6/128 570,000/= Redmi note 10 pro 6/128 690,000/= Redmi note 10 pro Max 6/128 695,000/= (Indian...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…