Mr No fair
Member
- Oct 25, 2020
- 53
- 52
Kwa wale wataoweza mikoani Mimi nipo Dodoma nauza sponge za kutengeneza masofa wanaziiita SHEET kitaalamu hizi ni zile chakavu tunauza kwa kilo kama wewe ni fundi hii kutasaidia kukupunguzia matumizi makubwa ya pesa kwenye kukununua sheet special sisi tunauza kg sh 6000 kwa kilo popote unaagiziwa kama wewe ni fundi au mfanyabiashara wa. Magodoro unaweza kuweka 0hizi dukani kwako zitakulipa pia kama kuna fundi sofa unae.fahamu mpe huu mchongo atakushukuru sana tupo Dodoma mjini 0656410330 tutafute WhatsApp au tupigie masaa ya muda wa kazi kwa maelezo zaidi