Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Oppo A15 full box ram 3/rom 32gb used miezi mitatu tu ipo kimara mwisho, Bongo Dsm bei: 260,000. 0713096076
1 Reactions
1 Replies
713 Views
Mzigo wa dagaa chafu upo wa kutosha km kuna uhitaji au kuna sehemu unafahamu soko lilipo nicheki 0624200275 tuyajenge
1 Reactions
2 Replies
560 Views
Kama hujasoma my previous thread about how to start a freelancing business popote pale ulipo bila experience wala mtaji wowote, basi pitia sasa maana nimeelezea everything concerning this...
11 Reactions
44 Replies
7K Views
Habari wana nzengo. Nahitaji mashine used ya kukandia ngano (dough mixer) kilo 25, 3phase ISIWE kutoka China. Tuwasiliane hapa 0765390255. Karibuni
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Takwimu zinasikitisha sana linapokuja suala la wawekezaji wenye mafanikio makubwa kupitia uwekezaji kwenye viwanja na nyumba. Si zaidi ya asilimia kumi ya wawekezaji wote waliojenga mafanikio...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama unahitaji dagaa wa Bukoba (Safi, Ya Jua Moja bila Mchanga) nicheki, kilo moja kwa tsh 5,000 Napokea oda kuanzia kilo 60 na kuendelea, muda wowote nicheki kwa namba yangu 0624200275
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta chumba sebure na jiko kea 100000 hata ukiwa chumba na sebure iwe katika mazingira mazuri Kodi miezi mitatu iwe maeneo ya makumbusho,kinondoni,namanga,hata mwenge sio mbaya
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za muda huu, Naomba Kwa anayejua machimbo ha vitambaa Kwa bei nzuri ya Jumla na vijora! Vitambaa nataka nikauze nje ya mji na huwa Mita inakuwa 3,000 na 3,500 naomba anayejua wanapouza Kwa...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Fremu kama inavyoonekena ipo mbezi mwisho mitaa ya mbezi kwa Yusuf. Inafaa kwa biashara mbali mbali kama duka,ofisi,medical laboratory,dispensary,microfinance, nursery and daycare,tuition center...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Maduka yetu yanapatikana jengo la stand kuu ya mabasi Moshi Mjini Room no M36 na M38. Tunatuma bidhaa zetu kwenye mikoa yote Tanzania pamoja na nchi jirani Mawasiliano Whatsapp 0757252165 Piga...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
Kwa wanaoitaji Bei 125,000 sh Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
5 Replies
644 Views
Wenyeji wa jiji la dar, naomba kujua huduma hii ya kuteketeza nywele au vinyweleo au ndevu kwa teknolojia tajwa naipata wapi?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, mimi ni mjasiriamali mdogo, nipo Bukoba, najihusisha na uuzaji wa dagaa wa Bukoba Kama mkoa uliopo kuna masoko au unafanya biashara hiyo nijuze au kama unajua mdau anayenunua dagaa vyema...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ndugu. Jipatie viatu vya kike kwa bei ya jumla ya TZS18,000 tu kuanzia pieces 10 chini ya hapo tunauza kwa TZS20,000 tuu. Tunapatikana Ubungo Msewe - Dar es Salaam WhatsApp: Share on...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya vitabu vya jumla na rejareja Contact:0715 977883 Or 0756 017036
1 Reactions
20 Replies
3K Views
TUNAKUFATA, KUFANYA KAZI POPOTE ULIPO, MBELE YA MACHO YAKO* Bei tumeshusha Kwa 30% TUNABADILISHA VIOO ORIGINAL VYA IPHONE ZA AINA ZOTE KWA GHARAMA NAFUU KWA KUTUMIA MITAMBO MAALUM TOKA BELGIUM...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Jamani nilikuwa nahitaji line ya Safaricom kama kuna mtu anajua zinapopatikana au anauza naomba anicheki 0755 325 507 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello ndugu, Nauza toyota Prius yangu ya mwaka 2007 Haina shida yoyote kabisa. Contact me 0744952994
2 Reactions
5 Replies
2K Views
anahitajika mtu wa kubadilishana vituo vya kazi kwa nesi yoyote kutoka Dodoma wilayani Mpwapwa kuja mkoa.wa Lindi na Mtwara kwa wilaya kama mtwara mjini,Newala,Tandaimba,Masasi,Ruangwa,Mtwara...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman kwa walimu mnaotaka kuhama/kubadilishana vituo vya kazi kuna application moja unaweza ukajisajiri ukapata watu wa kubadilishana nao wapo wengi na utapata details zao Tembelea...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom