Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 685
- 1,254
Huwa unatibu nini?
Pole boss, mvule ni nyara ya serikali inabidi upate vibali toka TFS na halmashauri husika.Vibali gani tena mkuu? Mti uko shambani kwangu nataka niondoe
Kuchana mbao lazima upate kibaliVibali gani tena mkuu? Mti uko shambani kwangu nataka niondoe
Wacha upuuzi wewe, huu mti uko shambani kwangu, unataka uuze nani aliyekupa hiyo ruhusa?
Mimi na ulipia ukiwa umesha wangusha chini uogopa hi nchi very complicatedVibali gani tena mkuu? Mti uko shambani kwangu nataka niondoe
nenda idara ya mali asili utapata utaratibu woteUtaratibu wa kupata hicho kibali cha kuuza?
nenda mali asili kaombe vibali vya kuchana huo mti,Nimepata wateja 3 wa kununua huo mti. Ofa yao laki 3+ hapo si napigwa za uso wazee?
Thamani ya huu mti naikadiriaje?
Wasiliana na TFS,Vibali gani tena mkuu? Mti uko shambani kwangu nataka niondoe
Kubali haraka sana hata kama utakayemuuzia ataenda kupata milioni 10. Chukua hizo laki 3+ maana pia nba uhakika hujaingia gharama yoyote kuufanya huo mti uwe kama ulivyo.Nimepata wateja 3 wa kununua huo mti. Ofa yao laki 3+ hapo si napigwa za uso wazee?
Thamani ya huu mti naikadiriaje?
Huo mti si wako kabisa halafu kama utaamua uuchane ww, gharama utakazoingia zitakuwa kubwa kuliko utakachopata. Wewe chukua 300+ fanya yako. Pia ikitokea Kijiji wana mradi wao, wanaweza kujenga hoja wautumie huo mti na huwezi kuuzuia. SIWA WAKO. Hiyo nchi sheria zake mbovu za kuwabana raia wake ndio chanzo cha umaskini wake.[emoji23] kwanini nikubali haraka sana hahaha. Au huo mti ni timing bomb
Ohooo lazima uombe kibali misitu au Jiji kitengo cha misituVibali gani tena mkuu? Mti uko shambani kwangu nataka niondoe