*TOYOTA IST
YEAR OF MANU 2005
ENGINE CC 1290
REG NUMBER #DHJ
*PRICE 8.7M *
IKO VIZUR IWAHI[emoji91]
0719921552 call
Mimi ndiye mmiliki ,Nimefulia sana Nahitaji Hela
Habari wakuu,
Nilikuwa natafuta mtu/kampuni inayosupply karatasi zile za kaki zinafanana na mfuko wa karatasi au bahasha.
Wapi zinapatikana au mwenye mawasiliano msaada tafadhali.
Nakuja kwenu wana wa JF,naomba msaada wenu,kuna kijana anaitwa KAIGI ERASTO LUKAGURA,anatafuta baba yake mzazi ambae amepoteana nae tangu akiwa mdogo,baba alihamishwa kikazi kutoka old shinyanga...
Habari zenu wadau,
Tunauza kuku aina ya chotara wenye kilo 5 na kuendelea tupo pwani mkuranga,Bei ya jumla kuanzia 18000.majogoo na majike 15000.wapo 300.karibuni Sana,mawasiliano,0789881466 na...
*Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25, naishi dar es salamm Bado sijaoa.
Dhumuni la kuja hapa jukwaani mbele yenu leo hii ni kuomba msaada wa kuujua Uchawi/Nguvu za kiroho ziliyo na matokeo ya wazi...
Habari zenu watanzania,
Kwa wakazi wa Kigamboni natoa huduma ya kunyoa majumbani au popote anapohitaji mteja naweza kuja kukuhudumia
Kwa viwango na ubora wa Hali ya juu
Call:0784440627
Info:
kiwanja kipo Igoma, mtaa wa Kilimo A.
0713096076
Umeme upo karibu na Beacon
Size ni hatua 35 kwa 25 za mtu mzima (sijapima Kwa mita tafadhali)
Beacon zimewekwa na kishapimwa zamani sana...
Eneo lenye Pagale Mbili Linauzwa
Eneo Lipo Boma Ng'ombe kwa Wasomali.KM 1 kutoka barabara kuu ya Moshi Arusha.
Eneo lina Pagale Mbili Moja Self ya Vyumba 3 na NYingine in ni Double yenye Master...
Wakuu nataka kununua mashine ya cherehani ya kushona ya miguu Na mashine ya overlock....nikauliza duka moja Arusha wakanambia wapo Na za India kwamba ni nzuri...kwasababu mi si mtaalamu mafundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.