Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

*TOYOTA IST YEAR OF MANU 2005 ENGINE CC 1290 REG NUMBER #DHJ *PRICE 8.7M * IKO VIZUR IWAHI[emoji91] 0719921552 call Mimi ndiye mmiliki ,Nimefulia sana Nahitaji Hela
0 Reactions
2 Replies
758 Views
Habari wakuu, Nilikuwa natafuta mtu/kampuni inayosupply karatasi zile za kaki zinafanana na mfuko wa karatasi au bahasha. Wapi zinapatikana au mwenye mawasiliano msaada tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SUZUKI ESCUDO EXCHANGE ALLOWED ENGINE:G16A ENGINE CAPACITY:1590CC IPO:MWANZA NYAKATO BEI:MILLION 4.8 CALL/SMS:0754405179 NB:GARI YAKWANGU MWENYEWE
1 Reactions
4 Replies
938 Views
Nakuja kwenu wana wa JF,naomba msaada wenu,kuna kijana anaitwa KAIGI ERASTO LUKAGURA,anatafuta baba yake mzazi ambae amepoteana nae tangu akiwa mdogo,baba alihamishwa kikazi kutoka old shinyanga...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Tunauza kuku aina ya chotara wenye kilo 5 na kuendelea tupo pwani mkuranga,Bei ya jumla kuanzia 18000.majogoo na majike 15000.wapo 300.karibuni Sana,mawasiliano,0789881466 na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kiwanja kipo sehemu sehemu nzuri panaitwa MJIMWEMA ukubwa ni Sq 800,ni sehemu Safi karibu na CHUO Cha biashara(T I A) mawasiliano
1 Reactions
5 Replies
984 Views
Nahitaji Examination Gloves, MRDT Na HIV kits na vifaa vingine vya maabara. Kwa bei ya jumla. 0785416449.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
*Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25, naishi dar es salamm Bado sijaoa. Dhumuni la kuja hapa jukwaani mbele yenu leo hii ni kuomba msaada wa kuujua Uchawi/Nguvu za kiroho ziliyo na matokeo ya wazi...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Budget 14, iwe namba D, unaweza nicheki whatsup 0687732666
0 Reactions
0 Replies
763 Views
1. Kitanda 5*6 =70,000/= 2. External HD 320Gb= 45,000/= 3. Stabilizer = 60,000/= 4. Apple Ipad WiFi = 150,000/= Location; Dar Cont; 0758 597106
0 Reactions
4 Replies
765 Views
Habari zenu watanzania, Kwa wakazi wa Kigamboni natoa huduma ya kunyoa majumbani au popote anapohitaji mteja naweza kuja kukuhudumia Kwa viwango na ubora wa Hali ya juu Call:0784440627
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Info: kiwanja kipo Igoma, mtaa wa Kilimo A. 0713096076 Umeme upo karibu na Beacon Size ni hatua 35 kwa 25 za mtu mzima (sijapima Kwa mita tafadhali) Beacon zimewekwa na kishapimwa zamani sana...
0 Reactions
1 Replies
649 Views
Double decker bed kina hali nzuri + godoro 2.size yake 3.5 x 6 kipo kimara mwisho kwa laki 250,000/= mazungumzo yapo kidogo namba zangu 0719478826
0 Reactions
0 Replies
565 Views
  • Closed
Eneo lenye Pagale Mbili Linauzwa Eneo Lipo Boma Ng'ombe kwa Wasomali.KM 1 kutoka barabara kuu ya Moshi Arusha. Eneo lina Pagale Mbili Moja Self ya Vyumba 3 na NYingine in ni Double yenye Master...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jiko la gesi la biashara na mtungu wake-180,000-Bunju B
1 Reactions
3 Replies
1K Views
SAMSUNG A03 CORE SCREEN - 6.5 INCHES REAR CAMERA - 8 MP FRONT CAMERA - 5 MP ROM - 32 GB RAM - 2 GB BATTERY - 5,000 mAh 24 MONTHS WARRANTY PRICE - Tshs 250,000 FREE DELIVERY CONTACT -...
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Wadau, natafuta kontena lile futi 20 ambalo ni fupi
0 Reactions
8 Replies
816 Views
Habari wapendwa, nahitaji Iphone 8 plus.. kubwa iwe kuanzia gb128
0 Reactions
1 Replies
827 Views
Inafanya; - Printing, Copying & Scanning (Black & Color). - Ni yangu (in mint condition) - Inkpad inakaribia kujaa, ukitoa copies kadhaa inaonesha taa ya alert. Bei: 300,000/-, Location...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nataka kununua mashine ya cherehani ya kushona ya miguu Na mashine ya overlock....nikauliza duka moja Arusha wakanambia wapo Na za India kwamba ni nzuri...kwasababu mi si mtaalamu mafundi...
3 Reactions
1 Replies
982 Views
Back
Top Bottom