Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni chumba cha malazi kinapangishwa Kinondoni studio karibu na Stereo Bar. Kodi kwa mwezi ni TSH 70,000/-. Maji na umeme upo. Kwa maelezo zaidi wasiliana na Prosper kwa simu au WhatsApp number...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wateja wengi wanaokopa benki hawana uelewa kuhusu haki zao katika mkopo hasa ikitokea kwa sababu mbalimbali wameshindwa kurejesha mkopo kwa wakati au kushindwa kabisa na hivyo kufikia mali zao...
0 Reactions
0 Replies
517 Views
Habari wakuu, Natafuta mdau anayedeal na utalii hasa Arusha na Kilimanjaro nijue taratibu mbali mbali. Piga 0713 039 875
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Habari nauzwa lamination mpya kwa sh 50,000 na pia monitor del inch 18 Tsh 50,000 hii ni used ipo poa. Kinyerezi. Dar Piga/sms 0738373706
0 Reactions
3 Replies
721 Views
Uuzaji na usambazaji wa vifaa mbalimbali vya kufugia kuku. [emoji239][emoji212][emoji214]. [emoji338] 0759190519. Whtsap. 0677002867. Email: ufugajisupplier@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF. Nauza baiskeli za jumla na rejereja kutoka Japan. Kuna za 85,000 95,000/ Na za gia ni 110,000 Napatikana Temeke. Mzigo pia natuma hadi mikoani tena kwa uhakika zaidi...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Nauza Kabati la kioo futi 3.5 Liko katika hali nzuri Mahali Goba 0654757823
1 Reactions
3 Replies
1K Views
processor Intel(R) Core i5 CPU 2.50GHz RAM 8.00GB system type 64~bit operating system Edition windows 10 pro Kipengele sensor imekufa inabidi utumue mouse, pia battery halikai na chaji zaidi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
2.5 B Mzungu kalewa Contacts . Mr.ibuog@gmail.com Wajuba yenu 500M
4 Reactions
49 Replies
4K Views
T.v ni ya nchi 24, na redio kubwa na spika zake pamoja na deki bei ninelf 70 tu. Unapeleka kwa fundi inasafishwa tu unstumia Ipo pugu kona 0719794789
0 Reactions
1 Replies
586 Views
HABARI KAMA SIMU YAKO INA SHIDA YA SOFTWARE, Mfano kwenye ; APPLICATION MESSAGE STORAGE (Simu imejaa) CALLS NOTIFICATION USIZOZIELEWA NA ZINATOKEA KILA MARA KUTUNZA FILE ZOTE GOOGLE ILI...
0 Reactions
4 Replies
781 Views
SAN LG 125 GIA 5 IPO MWANZA IGOMA HAINA SHIDA YOYOTE MILIONI 1 TU 0713096076
0 Reactions
0 Replies
577 Views
Wakuu nahitaji website au blog yenye matangazo ya Google Adsense yakiwa hayana shida yeyote, kwa aliyenayo naomba tuwasiliane Njoo WhatsApp http://wa.link/c951p8
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu mtanzania mwenzangu, tumeanza kuzalisha viatu vya ngozi halisi kwa matumizi mbalimbali. kuanzia viatu vya watoto vya shule na matumizi mbalimbali, vya kiume (Safety boot, army boot...
6 Reactions
79 Replies
65K Views
Wadau salaama! Nahitaji huduma ya mwanasheria(advocate) kwaajili ya kuthibitisha(certify) vyeti vyangu na baadhi ya documents. Awe maeneo ya Bunju au karibu na huko. Nicheck inbox kama una any leads.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Miliki gari kwa mkopo mpaka wa milioni 60(60,000,000tsh) ...inatakiwa uwe na uwezo wa kulipia angalau 60% ya gari unalotaka.. Tupigie 0744551655 kwa maelezo zaidi au fika magomeni mikumi kuona...
1 Reactions
3 Replies
689 Views
Wadau wasalaam! Nataka kuanza kilimo kikubwa maeneo ya kisaki, morogoro. Natafuta shamba la kununua eka 50 mpaka 200. Naomba offer au ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu wa eneo hili. Asanteni.
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Natanguliza shukrani wakuu, natafuta sana hiki kiatu kikiwa kipya kwa hapa DSM, wapi naweza pata, naona kwenye maduka mengi wanauza vile vya mchina vile(copy/fake). Mara ya mwisho nilibahatisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu, Ninahitaji mbao za mkongo au mninga, napatikana Dar lakini sihitaji kununua Dar kwa kuwa gharama ni kubwa. Nimeambiwa mninga unapatikana zaidi Tabora na Mkongo unapatikana zaidi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kila nikifikiria jinsi madalali wanavyotupiga kwenye viwanja, basi hutamani siku moja ije sheria iwe anaetaka kuuza kiwanja aende kwa wakili aliyesajiliwa. Ila ikiwekwa sheria hii itawaumbua sana...
2 Reactions
15 Replies
915 Views
Back
Top Bottom