Ni chumba cha malazi kinapangishwa Kinondoni studio karibu na Stereo Bar. Kodi kwa mwezi ni TSH 70,000/-. Maji na umeme upo.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Prosper kwa simu au WhatsApp number...
Wateja wengi wanaokopa benki hawana uelewa kuhusu haki zao katika mkopo hasa ikitokea kwa sababu mbalimbali wameshindwa kurejesha mkopo kwa wakati au kushindwa kabisa na hivyo kufikia mali zao...
Uuzaji na usambazaji wa vifaa mbalimbali vya kufugia kuku. [emoji239][emoji212][emoji214].
[emoji338] 0759190519.
Whtsap. 0677002867.
Email: ufugajisupplier@gmail.com
Habari zenu wanaJF.
Nauza baiskeli za jumla na rejereja kutoka Japan.
Kuna za 85,000
95,000/
Na za gia ni 110,000
Napatikana Temeke.
Mzigo pia natuma hadi mikoani tena kwa uhakika zaidi...
processor Intel(R) Core i5 CPU 2.50GHz
RAM 8.00GB
system type 64~bit operating system
Edition windows 10 pro
Kipengele sensor imekufa inabidi utumue mouse, pia battery halikai na chaji zaidi ya...
HABARI
KAMA SIMU YAKO INA SHIDA YA SOFTWARE, Mfano kwenye ;
APPLICATION
MESSAGE
STORAGE (Simu imejaa)
CALLS
NOTIFICATION USIZOZIELEWA NA ZINATOKEA KILA MARA
KUTUNZA FILE ZOTE GOOGLE ILI...
Wakuu nahitaji website au blog yenye matangazo ya Google Adsense yakiwa hayana shida yeyote, kwa aliyenayo naomba tuwasiliane
Njoo WhatsApp http://wa.link/c951p8
Ndugu mtanzania mwenzangu, tumeanza kuzalisha viatu vya ngozi halisi kwa matumizi mbalimbali. kuanzia viatu vya watoto vya shule na matumizi mbalimbali, vya kiume (Safety boot, army boot...
Wadau salaama!
Nahitaji huduma ya mwanasheria(advocate) kwaajili ya kuthibitisha(certify) vyeti vyangu na baadhi ya documents. Awe maeneo ya Bunju au karibu na huko. Nicheck inbox kama una any leads.
Miliki gari kwa mkopo mpaka wa milioni 60(60,000,000tsh) ...inatakiwa uwe na uwezo wa kulipia angalau 60% ya gari unalotaka..
Tupigie 0744551655 kwa maelezo zaidi au fika magomeni mikumi kuona...
Wadau wasalaam!
Nataka kuanza kilimo kikubwa maeneo ya kisaki, morogoro. Natafuta shamba la kununua eka 50 mpaka 200. Naomba offer au ushauri kwa yoyote mwenye ufahamu wa eneo hili.
Asanteni.
Natanguliza shukrani wakuu, natafuta sana hiki kiatu kikiwa kipya kwa hapa DSM, wapi naweza pata, naona kwenye maduka mengi wanauza vile vya mchina vile(copy/fake).
Mara ya mwisho nilibahatisha...
Habari wakuu,
Ninahitaji mbao za mkongo au mninga, napatikana Dar lakini sihitaji kununua Dar kwa kuwa gharama ni kubwa.
Nimeambiwa mninga unapatikana zaidi Tabora na Mkongo unapatikana zaidi...
Kila nikifikiria jinsi madalali wanavyotupiga kwenye viwanja, basi hutamani siku moja ije sheria iwe anaetaka kuuza kiwanja aende kwa wakili aliyesajiliwa. Ila ikiwekwa sheria hii itawaumbua sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.