Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau nipo Kigamboni Natafuta VIFARANGA vya KUCHI naomba Bei. Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
418 Views
Nauza mzani used miezi 5 Hauna tatizo lolote Mawe yote yapo Bei:130000/= Morogoro mjini 0658971481
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Mdau anauza mashelf yake ya dukani. Mahali yalipo ni mbezi ya kimara. Sababu ya kuuza ni anahamishia biashara yake mkoani hivyo hatoweza kuyabeba hadi mkoa anaohamia Bei ni maelewano kati yenu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Nauza player ya santuri bei laki moja tasilimu Ina bluetooth Ina play 45, 33 na 78 Portable and easy to carry
2 Reactions
8 Replies
985 Views
Habari zenu, nauza Bajaji ya kijani Aina ya TV's king, iko mikocheni na iko kwenye Hali nzuri Sana na inavibali vyote na inafanya kazi to a Uber na bolt. Bei ni milioni mbili na laki nne (2.4...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa wana Jamvi, Sisi ni mabingwa wale wale wa kuuza viwanja, na mashamba. Viwanja na mashamba tunayo miliki wenyewe..hivyo biashara yetu haijawahi kuwa ya ubabaishaji (Mashahidi wapo humu...
0 Reactions
0 Replies
537 Views
ok ngojaa tukuchekie mkuu
0 Reactions
101 Replies
33K Views
Habarini wadau kama mada inavyojieleza hapo juu. Natafuta chainsaw used. 1.Aina ni HUSGVARNA(272) 2.20 Inches Kwa mtu aliyetayari naomba tuwasiliane NB. Iwe kwenye hali nzuri isiwe imechoka.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Sio kila kiwanja kinaweza kukutengezea fedha. Sio kila nyumba ya kupangisha inaweza kukutengezea kipato kikubwa na kipato endelevu kwa kila mwaka. Kwa sababu hii, unahitaji kufanya tathmini kabla...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa sasa inakadiriwa kuwa na idadi kubwa saana ya makampini ya ulinzi tanzania, imezoeleka kuona makampuni mengi hapa nchini yakifanya biashara hali ya kuwa yalitakiwa kutoa huduma kwa wanachi...
0 Reactions
2 Replies
605 Views
Ram4 Hardidisk 500gb Processor 2.50ghz Corei5, Charge 4 hours Bei 350k
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Jamani wakuu naomba mwenye kujua zinakouzwa sindano hizi tuwasiliane ni sindano za kishonea makapeti. Nipo Korogwe Tanga
0 Reactions
3 Replies
704 Views
Jamani mwenye Zilipendwa origino kati ya miaka 1975-1995 naomba awasiliane nami kwa PM. Hususan natafuta Nuta.Juwata/Ottu, Mlimani Park, Vijana Jazz, Marquis, Mzee Makassy, OSS, Kyauri Voice...
1 Reactions
33 Replies
16K Views
Mahali: Kinyerezi Dar es salaam Idadi: Watatu (3) Bei: laki mbili kwa wote (200000) Karibu pm
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu habarini, kama kuna mtu yoyote anafahamu massage iliyopo hapa tanga naomba anielekeze
0 Reactions
23 Replies
18K Views
Unaitaji nguo za kike za ndani kwa bei ya jumla, Unaitaji sendozi za kike na kiume,karibu tuchangiane maisha yaendelee ata usifika ofisini mzigo utakufuata ulipo hapo hapo kikubwa hela[emoji16]...
0 Reactions
0 Replies
306 Views
Salaam wakuu, Nauza gari aina ya Pajero GDI. Ya mwaka 2002. Rangi ni nyeusi. Namba B. Cc 1500. Bei 5 million. Gari ni yangu mimi mwenyewe na haina tatizo lolote. Karibuni.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Bajaj ya abiria aina ya Tvs. Haina shida yoyote njoo na fundi kagua, lipa anza kuswampa Bei elekezi 1,500,000 0713096076 tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
641 Views
wadau,mwenye pikipiki tajwa hapo juu,na ambae yuko tayari kuuza,hata kama ilibadilishwa engine anicheki hapa 0784356521.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jipatie kitanda Cha kukunja(camping bed) kwa matumizi mbali mbali ikiwemo kutumia nyumbani, kutumia ukiwa camp nk. Condition: used Open size:193x78x34cm Folden size: 91X78X15cm Price:200,000/=...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…