Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini jf, natafuta fundi au mtu yoyote ambaye anaweza kujua chimbo ya viti vya ukumbini hususani lecture rooms ya idadi ya viti kama 200 kwa 250 seats kwa dizaini ya viti ndo kama hi, naomba...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Done deal~ jambo limetimia Mita 160 hizo Maji kama bahari. Mpwapwa - Suguta Hujachelewa karibu tukuchimbie na wewe 0689 150 968 0625 557 395 0764 418 248
0 Reactions
1 Replies
504 Views
Simu ni used ila inatumika vizuri. 32GB storage 2GB RAM Inapatikana Dar Bei 120,000 0711381113 Nimeshindwa kuambatanisha picha kwasababu hapa sina simu nyingine kwa ajili ya kupigia picha.
0 Reactions
1 Replies
712 Views
Kichwa cha habari chajieleza, Wakubwa nahitaji kioo cha s10 plus na s20 ultra zote Samsung, kwa Dar au Mwanza vinapatikana wapi? Asante
1 Reactions
4 Replies
4K Views
LUOWEBS AND SYSTEMS DESIGNERS AND MANAGERS Watengenezaji na wabunifu wa Mifumo (Systems) na tovuti (Webs) mbalimbali za kisasa kwaajili ya Taasisi, Makampuni, Biasharana Watubinafsi, Lengo ni...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Nauza meza ya kusomea/kuandikia bei chee - Temeke, Dar es salaam. Bei: 60,000/-
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tafadhali MWENYE mzani used wa MAWE tuwasiliane 0621538913. Pesa iliyopo mkononi ni 60,000/=. TSH
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Simple design (Ramani) 3 bedrooms Kitchen Store Dining Living room toilet Tofali 3300 Kiwanja kuanzia mita 18 kwa 20 Get the plan +255678418272 Whatsapp
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana. -> Kioo kina ukubwa wa inchi 15.6 -> RAM ni 4GB -> Hard disk yake ni 500GB -> CPU ni duo core ya 1.6Ghz -> Kipengele...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau, Nina madini aina ya Opal (Milky white opal) (angalia attachment). Kwa anayejua soko lake anisaidie taarifa, niko Dar. 0718174415
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Wakuu. napenda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha wadau wa maendeleo kwamba Foundation for Civil Society (FCS) wametoa wito kwa ajili ya kupokea maombi ya fedha za miradi (call for proposals...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mkoa wa Tanga, wilaya ya mkinga karibu kabisa na barabara kuu ya kwenda Mombasa Kenya kupitia horohoro boder kuna beach plots zinauzwa kwa bei rahisi tu. Viwanja hivi vinafaa kwa...
1 Reactions
5 Replies
796 Views
Bei imekufa! 200K inapoa 0625692602 Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
331 Views
Wale wauzaji wa hizi mashine tafadhali mje chap mniuzie Iwe mpyaa
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Graphics Card ASUS GTX 1060 6GB Bei 500,000/= Call/WhatsApp 0653 713201
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Karibu graceusafi, tunatoa huduma za Usafi Ofisini, nyumbani, shuleni, viwandani na sehemu za ibada Tunafanya Usafi kwenye nyumba mpya, Kama umemaliza ujenzi unataka kuhamia karibu sana...
0 Reactions
2 Replies
825 Views
Niko Ilemela, Mwanza, namtafuta Mwalimu ambaye ni mzuri, anayejua kufundisha watoto vizuri, awe na hofu ya Mungu. Awe anajali watoto sana na ajui kufundisha vizuri. Kwa mawasiliano; 0787247251...
0 Reactions
1 Replies
445 Views
Kiatu kipya kinauzwa bei 130,000/ size 7 hand made from UK Niko Arusha, ukihitaji pm me
1 Reactions
0 Replies
585 Views
Habari poleni na kazi viongozi, nawasilisha kwenu. Ni ni waterproof iko katika form ya gundi, nahitaji ya ajili ya nyumba ya CONTEMPORARY.
0 Reactions
4 Replies
512 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…