Habarini jf, natafuta fundi au mtu yoyote ambaye anaweza kujua chimbo ya viti vya ukumbini hususani lecture rooms ya idadi ya viti kama 200 kwa 250 seats kwa dizaini ya viti ndo kama hi, naomba...
Done deal~ jambo limetimia
Mita 160 hizo Maji kama bahari.
Mpwapwa - Suguta
Hujachelewa karibu tukuchimbie na wewe
0689 150 968
0625 557 395
0764 418 248
Simu ni used ila inatumika vizuri.
32GB storage
2GB RAM
Inapatikana Dar
Bei 120,000
0711381113
Nimeshindwa kuambatanisha picha kwasababu hapa sina simu nyingine kwa ajili ya kupigia picha.
LUOWEBS AND SYSTEMS DESIGNERS AND MANAGERS
Watengenezaji na wabunifu wa Mifumo (Systems) na tovuti (Webs) mbalimbali za kisasa kwaajili ya Taasisi, Makampuni, Biasharana Watubinafsi, Lengo ni...
Simple design
(Ramani)
3 bedrooms
Kitchen
Store
Dining
Living room
toilet
Tofali 3300
Kiwanja kuanzia mita 18 kwa 20
Get the plan
+255678418272
Whatsapp
Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana.
-> Kioo kina ukubwa wa inchi 15.6
-> RAM ni 4GB
-> Hard disk yake ni 500GB
-> CPU ni duo core ya 1.6Ghz
-> Kipengele...
Habari Wakuu.
napenda kuchukua nafasi hii kuwafahamisha wadau wa maendeleo kwamba Foundation for Civil Society (FCS) wametoa wito kwa ajili ya kupokea maombi ya fedha za miradi (call for proposals...
Habari wakuu,
Mkoa wa Tanga, wilaya ya mkinga karibu kabisa na barabara kuu ya kwenda Mombasa Kenya kupitia horohoro boder kuna beach plots zinauzwa kwa bei rahisi tu. Viwanja hivi vinafaa kwa...
Karibu graceusafi, tunatoa huduma za Usafi Ofisini, nyumbani, shuleni, viwandani na sehemu za ibada
Tunafanya Usafi kwenye nyumba mpya, Kama umemaliza ujenzi unataka kuhamia karibu sana...
Niko Ilemela, Mwanza, namtafuta Mwalimu ambaye ni mzuri, anayejua kufundisha watoto vizuri, awe na hofu ya Mungu. Awe anajali watoto sana na ajui kufundisha vizuri.
Kwa mawasiliano; 0787247251...