Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jamani nimezunguka majukwaa mengi natafuta mtu anaeuza sindano za kutengenezea carpets za namna hii popote pale Tz, maana nimehangaika kutafuta hadi sio poa, nimekuja na humu mnisaidie kwa muuzaji...
0 Reactions
1 Replies
534 Views
GAMING PC CALL/WHATSAPP 0653 713201 Bei 2 milion Motherboard Gigabyte Ab350m gaming 3 Processor Amd Ryzen 7 1800X Ram Ddr4 16GB Ssd Lexar 512GB (speed 3200MBps Read,, 3000MBps Write speed)...
0 Reactions
2 Replies
827 Views
Natafuta mtu anayeuza hii dawa kwa bei ya jumla full box, awe Arusha pls. Asante
0 Reactions
0 Replies
500 Views
Wana Jamii forum habar Wakuu nauza CCTV camera kwa bei ya hasara Camera sijaitumia kabisa Mahali napatikana Mtwara Bei ni Tsh 65,000
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari.. Nauza vitu vya ndani, TV Samsung inch 32.. imetumika one month. Fridge kubwa(imeisha gas), sofa set, Kitanda na Godoro, Dressing table(a bit used), stand ya TV(Ya dukani), Kabati la...
4 Reactions
156 Replies
20K Views
Kipindi cha awamu ya sita neno hili limetawala kwenye watu wanadaiwa na mabank na watu binafsi.. Ni nini kifanyike?
0 Reactions
4 Replies
775 Views
Wakuu, poleni na majukum. Ninaomba mnisaidie, hivi pumba za ngano ua zinapatikana wapi? kuna mtu kaniambia nijaribu kwa Bakhresa, hivi ni kweli naweza kuzipata apo? Kuna mtu ana contacts zozote...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Kiwanja kipo eneo la Nzuguni centre kabisa kwa wasiokufahamu ni Karibu na stendi kuu ya mabasi ya mikoani na soko kuu la ndugai . Kiwanja ni kwa ajili ya matumizi ya taasisi za kidini, shule na...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakuu, Jipatie Movies zako pendwa na Series. 🍿 MOVIE 1 - Tsh 1,000 🍿 MOVIE 7 - Tsh 5,000 🍿 MOVIE 15 - Tsh 10,000 💫SEASON 1 - Tsh 2,000 📍 Delivery In Dar 🛍
1 Reactions
2 Replies
683 Views
banda kubwa zuri la bati linauzwa bei 280,000 tu maongezi kdg yapo halina tatizo lolote!lipo kigamboni linahamishika kama unalihitaj nipigie 0653110660
0 Reactions
3 Replies
519 Views
Leo tunatoa ofa ya usajili wa Kampuni au jina la biashara kwa punguzo la 60%. Ofa hii itaisha ndani ya siku tatu. Popote ulipo huduma hii itakufikia, karibu tukuhudumie. Wasiliana na kwa simu...
1 Reactions
0 Replies
544 Views
Goodmans HD Projector UK Brand Model : 363566 Full HD Projector 1080p✅ 2000 LUMEN Led ✅ Built in Speakers✅ 2 HDMI input + VGA✅ USB (Flash pamoja na SD Card)✅ Bluetooth (Unaconnect kwenda...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari, Nahitaji bidhaa hizi, sukari mawe na almond nuts kwa bie ya jumla kwa Arusha au Dar, na bei zake zikoje kwa jumla. Ahsanteni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada, nahitaji kuwa nanunua mbuzi wengi kwa wiki katika mnada wa mbuzi Vigwaza. Mwenye uzoefu wa siku zipo kuna mnada na bei zake. Natanguliza shukurani!
0 Reactions
10 Replies
4K Views
PS3 yangu imepata hitilafu. Naskia kuna mafundi wananunua PS3 mbovu ndio maana nimekuja hapa. Ilikuwa inafanya kazi vizuri toka nilipoizima jana (27/07/22). Ila sasa leo nimeamka niiwashe...
0 Reactions
2 Replies
770 Views
https://chat.whatsapp.com/LCg2LnzCokt1X3jj6LEAm3
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Kama kichwa cha Habari kinavyosema njoo pm kama unazo Sent from my INE-LX1 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
2 Replies
479 Views
Wadau mimi ni mpenzi wa ujenzi sana ningependa kwenye huu uzi tujadili mambo mbali mbali na gharama na mitindo mbali mbali ya ujenziii..... Tuanze na hii nimependa sana huu ujenzj wataalamu...
2 Reactions
25 Replies
8K Views
Kutoka kwa Yericko Habari njema kwangu na kwa Watanzania nikuwa Kitabu chetu pendwa cha Ujasusi baada ya kuingia makubaliano na kampuni ya Kindle Publishers ili wauze kitabu kupitia amazon.com...
9 Reactions
26 Replies
4K Views
Tunauza Sweta za shule kwa bei ya jumla na rejareja . Kiwanda kipo DODOMA, Nzuguni karibuni muweke order Contact:+255 611153
1 Reactions
5 Replies
538 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…