Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,636
- 3,167
Hii kitu inashangaza sasa huyu mtutokea tumempa uanachama wa EAC Anajikuta yeye ndo yeye ivi anamtishia nani hasa TANZANIA au KENYA ??? huyu bwana ujue ajiangalie sana aache kelele kelele zake wanaume huwa hatuongei sana atulie aache watu wafanye kazi yao full stop aacha mikwala mikwala yake hopeless kabisa..
NB:Kipindi cha mavuno iki nanasi uku Bagamoyo shambani kwangu zishaiva nahitaji support yenu wadau JF mzigo upo wa kutosha nyny tu nipo Likizo Bagamoyo...
NB:Kipindi cha mavuno iki nanasi uku Bagamoyo shambani kwangu zishaiva nahitaji support yenu wadau JF mzigo upo wa kutosha nyny tu nipo Likizo Bagamoyo...