Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu waheshimiwa! Nakodisha gari (Toyota Noah - 2005 Model) naikodisha siku yoyote utakayoihitaji, labda tu iwe imekodiwa na mtu mwingine. Naikodisha kwa ghrama tofauti kulingana na siku...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nyumba ipo mbweni Jkt, vyumba 4 vyote self, na pia kuna nyumba ndogo kwa ajili ya wafanyakazi nk Nyumba bado ni mpya kabisa na ukinunua unakabidhiwa ikiwa imekamilika kila kitu Uwanja una ukubwa...
4 Reactions
28 Replies
5K Views
Tuna Upungufu wa Vijana Wa Masoko na Mauzo Ofisini Kwetu. Kama Unamjua Kijana Anayeweza Kufanya Masoko na Mauzo mpe Namba yangu 0742 744 363 Tunapatikana Mliman City, Dar Es Salaam.
0 Reactions
17 Replies
903 Views
Habari wana JF, Kama kichwa cha tangazo kinavyosema, nahiuhitaji wa vifaa mbalimbali kwa ajil8 ya biashara ya chips(viazi). Vifaa hivyo ni kama jiko liwe la rimu au maranda, kabati ya aluminium...
0 Reactions
1 Replies
583 Views
Nauza gari ambayo mteja anaipenda. Namwachia mteja achague aina ya gari, rangi yake, mwaka na bajeti yake. Kisha nitamretea gari hiyo. Kwa sasa ambazo wateja wamezitaja sana ni hizi hapa
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Naombeni msaada ni njia gani cheap na salama naweza kutumia Kusafirisha vitu ya ndani kutoka Dar es salaam Hadi Songea!πŸ™πŸΌπŸ™πŸΌπŸ™πŸΌ Na Bei za usafirishaji zipoje?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu , napatikana mjini USHIROMBO wilaya ya BUKOMBE, Tangu mwaka 2006 nimekuwa nikijihusisha na kazi hii ya ufundi wa madishi mpaka muda huu namudu kufanya kazi yoyote sio kufunga...
0 Reactions
2 Replies
898 Views
Sizes :5kwa6,6kwa6,7kwa8 bei 25000tuu shuka 2 na foronya mbili Rangi zipo rangi mbalimbali Location : Dar es salaam ,Riverside karibuni mawasiliano :0657386021
0 Reactions
1 Replies
488 Views
Tunauza photocopy maahine aina za canon zenye uwezo tofauti tofauti . Tupo ilala Dsm amana . Sio tu tunakuuzia pia tunakufundisha kuitumia na kuifanyia service mwenyewe bila kuita fundi kwa zile...
1 Reactions
8 Replies
990 Views
Habari waungwana, Kuna Hiace nataka kununua ila haijawekewa seats za abiria zaidi ya seats za mbele. Je, gharama ya kuweka hizo seats za abiria kwenye hiace ni gharama kiasi gani? Sent using...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Msaada - Wapi Dar napata mashine nzuri za kunyolea za WAHL?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani natafuta apple acid vinegAr inakouzwa hapa dar es salaam
0 Reactions
28 Replies
3K Views
[emoji345]OFAA OFAA ya machine za kutotoleshea vifarangaa kuanzia mayai 16 mpaka mayai 30000 Nk [emoji345]Baada ya kilio cha muda mrefuu kwa wafugaji na baadhii yao kukata tamaa na kushindwa...
1 Reactions
3 Replies
970 Views
Nipo na Infinix hot 12 play nmetumia mwezi tu na ina accessories zake zote had box,, Nahtaji Simu yenye iliyonyooka ya 32 GB alafu unaniongezea 50k Juu Nakuachia Simu,, Haina Shida Kabisaaa na...
0 Reactions
6 Replies
897 Views
Karibuni niwe wakala wenu, Nimefanikiwa kuhamisha pesa kutoka Sudani kuja Tanzania kwa njia ya mpesa. Sasa nitaweza kuhamisha pesa kutoka mahali popote Africa kwa haraka. Ahsanteni
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Nauza Airpods znazotumia Bluetooth na zinapiga mziki vizuri wala hazina changamoto yoyote ile pia zinakaa sana na chaji. Nicheki 0654506090 au WhatsApp me 0743546090. Karibu. Bei: 10,000 Nipo...
1 Reactions
18 Replies
743 Views
Baada ya uvumi wa mda mrefu sasa Kampuni ya TECNO tume wafikishia wateja wetu toleo letu la POP 7. Hivyo basi kwa Watanzania wote ambao wanataka kumiliki simu kali ya kijanja kwa bei poa kapisa...
6 Reactions
53 Replies
4K Views
Habari wakuu? Karibu Oscar Outfits upate bidhaa za mavazi kama Mashati, Jeans, Sweet Pants, Boxers, Viatu vya kike/ Kiume, Saa, Mikoba, Cadets n.k kwa bei nafuu. Tafadhali wasiliana nasi kupitia...
3 Reactions
377 Replies
23K Views
habari wana jukwaa nauza vitabu vifuatavyo 1. business accounting 1 (11edition) 2. computing essentials 3. human and economic geograpgy. (advance level) 4. basic french (a course for beginners)...
0 Reactions
2 Replies
520 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…