Habari zenu waheshimiwa!
Nakodisha gari (Toyota Noah - 2005 Model) naikodisha siku yoyote utakayoihitaji, labda tu iwe imekodiwa na mtu mwingine. Naikodisha kwa ghrama tofauti kulingana na siku...
Nyumba ipo mbweni Jkt, vyumba 4 vyote self, na pia kuna nyumba ndogo kwa ajili ya wafanyakazi nk
Nyumba bado ni mpya kabisa na ukinunua unakabidhiwa ikiwa imekamilika kila kitu
Uwanja una ukubwa...
Tuna Upungufu wa Vijana Wa Masoko na Mauzo Ofisini Kwetu.
Kama Unamjua Kijana Anayeweza Kufanya Masoko na Mauzo mpe Namba yangu
0742 744 363
Tunapatikana Mliman City, Dar Es Salaam.
Habari wana JF,
Kama kichwa cha tangazo kinavyosema, nahiuhitaji wa vifaa mbalimbali kwa ajil8 ya biashara ya chips(viazi). Vifaa hivyo ni kama jiko liwe la rimu au maranda, kabati ya aluminium...
Nauza gari ambayo mteja anaipenda.
Namwachia mteja achague aina ya gari, rangi yake, mwaka na bajeti yake. Kisha nitamretea gari hiyo.
Kwa sasa ambazo wateja wamezitaja sana ni hizi hapa
Naombeni msaada ni njia gani cheap na salama naweza kutumia Kusafirisha vitu ya ndani kutoka Dar es salaam Hadi Songea!ππΌππΌππΌ Na Bei za usafirishaji zipoje?
Habari wakuu , napatikana mjini USHIROMBO wilaya ya BUKOMBE,
Tangu mwaka 2006 nimekuwa nikijihusisha na kazi hii ya ufundi wa madishi mpaka muda huu namudu kufanya kazi yoyote sio kufunga...
Sizes :5kwa6,6kwa6,7kwa8
bei 25000tuu
shuka 2 na foronya mbili
Rangi zipo rangi mbalimbali
Location : Dar es salaam ,Riverside
karibuni mawasiliano :0657386021
Tunauza photocopy maahine aina za canon zenye uwezo tofauti tofauti . Tupo ilala Dsm amana .
Sio tu tunakuuzia pia tunakufundisha kuitumia na kuifanyia service mwenyewe bila kuita fundi kwa zile...
Habari waungwana,
Kuna Hiace nataka kununua ila haijawekewa seats za abiria zaidi ya seats za mbele. Je, gharama ya kuweka hizo seats za abiria kwenye hiace ni gharama kiasi gani?
Sent using...
[emoji345]OFAA OFAA ya machine za kutotoleshea vifarangaa kuanzia mayai 16 mpaka mayai 30000 Nk
[emoji345]Baada ya kilio cha muda mrefuu kwa wafugaji na baadhii yao kukata tamaa na kushindwa...
Nipo na Infinix hot 12 play nmetumia mwezi tu na ina accessories zake zote had box,, Nahtaji Simu yenye iliyonyooka ya 32 GB alafu unaniongezea 50k Juu Nakuachia Simu,, Haina Shida Kabisaaa na...
Karibuni niwe wakala wenu,
Nimefanikiwa kuhamisha pesa kutoka Sudani kuja Tanzania kwa njia ya mpesa.
Sasa nitaweza kuhamisha pesa kutoka mahali popote Africa kwa haraka.
Ahsanteni
Nauza Airpods znazotumia Bluetooth na zinapiga mziki vizuri wala hazina changamoto yoyote ile pia zinakaa sana na chaji.
Nicheki 0654506090 au WhatsApp me 0743546090.
Karibu.
Bei: 10,000
Nipo...
Baada ya uvumi wa mda mrefu sasa Kampuni ya TECNO tume wafikishia wateja wetu toleo letu la POP 7. Hivyo basi kwa Watanzania wote ambao wanataka kumiliki simu kali ya kijanja kwa bei poa kapisa...
Habari wakuu?
Karibu Oscar Outfits upate bidhaa za mavazi kama Mashati, Jeans, Sweet Pants, Boxers, Viatu vya kike/ Kiume, Saa, Mikoba, Cadets n.k kwa bei nafuu.
Tafadhali wasiliana nasi kupitia...
habari wana jukwaa
nauza vitabu vifuatavyo
1. business accounting 1 (11edition)
2. computing essentials
3. human and economic geograpgy. (advance level)
4. basic french (a course for beginners)...