Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

✓Shuka √Cotton duvet ✓Foronya Location Dar, Natuma Mkoani na nafnya delivery 📱0626903619 Price 50,000/=
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Vitabu zifuatavyo vinapatikana na vitaweza kukusaidia kwa kiasi kikubwa kupata elimu ya fedha na uwekezaji. 1. Increase your Finanncial IQ by Robert Kiyosaki 2. School of money by Olumide O...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Asalamu alykum ndugu zangu. Nyumba inauzwa, Ina vyumba Saba(7) vya kulala na vyoo sita, Ina uwanja mkubwa na mabanda kwa ajili ya kufugia kuku yapo. Bei ni milioni mia na hamsini,(150000000) ila...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Vyumba vitatu, kimoja masta Limezungushiwa uzio wa matofali Eneo ni kubwa Umeme mlangoni Liko kwenye barabara ya mtaa Mita 500 kutoka barabara kuu inayoelekea Mtwara Lipo Mkuranga Kwa maelezo...
1 Reactions
13 Replies
894 Views
TCL Android TV inch 32, Ina conditions nzuri na vifaa vyote vipo mpaka box lake Nahitaji 300 0764 966 340 Ipo Mji mwema, Kigamboni
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Masomo yanayofundishwa: ✓ Utangulizi wa makala (maana ya wholesaling real estate). ✓ Tofauti kati ya udalali wa majengo na kuuza majengo ambayo huyamiliki. ✓ Jinsi ya kuuza kwa uhalali. ✓ Kuwa...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
PILI; Jinsi Ninavyoanza Kutoa Huduma Za Udalali Wa Viwanja, Mashamba Na Majengo Makala iliyopita nilikushirikisha jinsi nitavyofanya endapo nitakosa fedha kwa ajili ya kununulia nyumba ya...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Nauza simu yangu aina ya samsung jean 2, gb 32 ina hali nzuri sana, bei laki moja na nusu (150000). Nipo iringa mjini kwa ambae yupo mkoani naweza kumtumia au anaweza kuagiza mtu ambae yupo Iringa...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
natafuta 34" - 37" curved monitor, ndani ya Tanzania bei na wapi nawaza pata? sio lazima brand niliyo attach hapa cc
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Heshima zenu wa kubwa, kwa wale wote wanaohitaji kununua content kwa shughuli zao karibuni yapo ya futi 40 na futi 20 karibuni sana.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hot Plot for sale beside na chuo cha Afya [emoji91][emoji537] Kiwanja kipo Kigamboni mwembe mdogo , sqm 600 , 2km kutoka barabarani ya Mjimwema -- ferry , kiwanja kina kisima cha maji safi...
1 Reactions
1 Replies
553 Views
Oi vipi Natafuta nyumba maeneo ya makumbusho, morroco kama unamjua mwenye nyumba au ww ni mwenye nyumba nicheki Isizid 200,000
2 Reactions
56 Replies
2K Views
TOYOTA IST CC1290 MWAKA 2004 FULL DOCOMENT FULL AC GARI KALI SANAA BEI 11ML KARIBU SANA. 0625004475
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Ni kikundi cha vijana tunashughulika na utengenezaji wa mabango ya 2d, 3d, banner, write box tunapatikana sinza mori jirani na Duka la NATTY Au waweza kutembelea ukurusa wetu wa Instagram...
1 Reactions
1 Replies
515 Views
1998 model, 1500cc, Petrol, First registered in Tz 09/03/07with reg T...AQV. The car in condition. Price Tshs 4.5mil Contact 0784225000.
0 Reactions
165 Replies
58K Views
To all, We are looking for sales person and 3 sales commission agents for home appliances retail shop Duty station:Ilala manicipal in Dar es salaam. Roles for sales person: 1. Welcoming and...
4 Reactions
7 Replies
727 Views
Ina ghorofa na nyumba ndogo nne chini.frame mbili za biashara nje. ipo pembeni ya barabara kabisa. Umiliki Hati Inafaa kwa uwekezaji wa ofisi pia. Nyumba ipo kinondoni mahakama.. Bei 450 millions...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, nahitaji paka mwepe asiye na doa la rangi yeyote ile. Kama unaye au ukanipa connection ya kuweza kumpata tuwasiliane kupitia simu no: Kwa wakazi wa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nauza Plot yangu Geza ulole Block 24, Kiwanja kimepimwa Kina Hati ya wizara (Title) Ukubwa wake ni square metre 800 *Mawasiliano: 0758 065 340 KARIBUNI SANA.
3 Reactions
4 Replies
739 Views
Nina external hard disk gb 500 inapatikana Dar es salaam Magomeni , imejaa movies na series bei ni 90000
0 Reactions
1 Replies
542 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…