Car4Sale Land Rover Defender 110 For sale

luqman luqman

JF-Expert Member
Jun 14, 2014
839
1,363
Habari wakuu

Land Rover Defender 110
Gari ni ya mwaka 2000
Documents halali zipo
Nzima, kila kitu kiko sawa
Bei 35 Millions

Gari iko Sinza, Dar es Salaam, kwa aliye interested karibu sana na fundi wako mje kukagua gari.

Mawasiliano zaidi 0710102811
d8421b78-2cec-424e-b163-4d46a4bc28fe.jpg

256cb5f0-bcec-43f9-bc9c-65e5f3802206.jpg

08e42cf2-a99a-4ad7-99d7-d75a823deba8.jpg

eec54777-0929-40f3-890f-d355d2cb3f14.jpg

64007486-1578-4ade-8404-8967b3135bbb.jpg

5b42e922-fa42-44d0-866e-2fe21326d391.jpg
 
Hiyo chuma ukiichukua ukawatupia wahuni wangu wa Arusha hasa bosco designer, au uitupe mbinga waisuke upya, waiwekee tyre na rim size ya kijanja, halafu juu waichape carrier matata hapo uanze zile safari za mkoa kwa mkoa na ichapwe rangi ya gari kama kijani mpauko, nyeusi au rangi ya jeshi la marekani, halafu backdoor iwekewe tyre lake kila utapopita lazima watu waulizane huyo mtalii wa kutokea wapi tena
 
Hiyo chuma ukiichukua ukawatupia wahuni wangu wa Arusha hasa bosco designer, au uitupe mbinga waisuke upya, waiwekee tyre na rim size ya kijanja, halafu juu waichape carrier matata hapo uanze zile safari za mkoa kwa mkoa na ichapwe rangi ya gari kama kijani mpauko, nyeusi au rangi ya jeshi la marekani, halafu backdoor iwekewe tyre lake kila utapopita lazima watu waulizane huyo mtalii wa kutokea wapi tena
🤣🤣👍👍
 
Hiyo chuma ukiichukua ukawatupia wahuni wangu wa Arusha hasa bosco designer, au uitupe mbinga waisuke upya, waiwekee tyre na rim size ya kijanja, halafu juu waichape carrier matata hapo uanze zile safari za mkoa kwa mkoa na ichapwe rangi ya gari kama kijani mpauko, nyeusi au rangi ya jeshi la marekani, halafu backdoor iwekewe tyre lake kila utapopita lazima watu waulizane huyo mtalii wa kutokea wapi tena
Haswaaaa... chuma hulali chaka hii.. kuna mwaraa hapa shinyanga nae anazitoa kama Bosco Arusha.. ni hatari mie nina kakipisi TDi.. pori linashika adabu na barabara zake 😅😅😅
 
Habari wakuu

Land Rover Defender 110
Gari ni ya mwaka 2000
Documents halali zipo
Nzima, kila kitu kiko sawa
Bei 35 Millions

Gari iko Sinza, Dar es Salaam, kwa aliye interested karibu sana na fundi wako mje kukagua gari.

Mawasiliano zaidi 0710102811
View attachment 2543231
View attachment 2543232
View attachment 2543233
View attachment 2543234
View attachment 2543235
View attachment 2543236
A! Ikisha kula sport rims, ukafunga mdundo na smart screen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo chuma ukiichukua ukawatupia wahuni wangu wa Arusha hasa bosco designer, au uitupe mbinga waisuke upya, waiwekee tyre na rim size ya kijanja, halafu juu waichape carrier matata hapo uanze zile safari za mkoa kwa mkoa na ichapwe rangi ya gari kama kijani mpauko, nyeusi au rangi ya jeshi la marekani, halafu backdoor iwekewe tyre lake kila utapopita lazima watu waulizane huyo mtalii wa kutokea wapi tena
Kama chuma ya dogo janja au kuna difenda anaendeza Mume wa Zamaradi ni balaa
 
Back
Top Bottom