1999model manual transmission grey 5 doors in very good condition
Terms and conditions for sale is negotiable.
Intersted buyers should contact this number 0717114409
Reported Attack Site!
This web site at www.mwananchi.co.tz has been reported as an attack site and has been blocked based on your security preferences.
Attack sites try...
Nahitaji Gari Toyota spacio lenye specifications kama hizi
Rangi; Silver
Mwaka 2000 au zaidi
Liwe halijasajiliwa hapa nchini kwani nataka kutumia exemption
Lenye cc ndogo litakuwa na advantage...
nyumba ipo kwenye kona karibu na soko la kariakoo! ni sehemu iliyochangamka sana kwa biashara. nyumba za karibu yake kodi kwa kila fremu ni kati ya 300,000 mpaka 700,000 kutegemea na ukubwa wa...
toyota IST ya mwaka 2002.
CC 1300!!!
odo 97,000
rangi ya silver
options
Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / Tinted Glass / A/C:front / Power Steering / Remote...
ROGER KIKWABI
Kwa mtu anayemfahamu Bwana Roger Kikwabi naomba Ampe Taarifa kwamba Alisahau Cheti chake cha TPSC LC NO : 020 eneo la kijitonyama tuwasiliane kwa email oldmoshi@gmail.com ili...
Natafuta mtu ambaye yuko tayari kushirikiana naye kwenye consultancy firm yangu ambayo natarajia kuianzisha soon nikisharudi nyumbani. Vigezo awe amefanya economics au sociology na ni mtatifi...
Hi,
Natafuta walimu wa masomo ya Computer. Topic zenyewe ninazohitaji pata ufahamu zaidi ni LAMP (Kwa ajili ya web based Database)
yaani:
Linux
Apache
MySQL
PHP
Kama kuna...
Nataka kuagiza gari kwa njia ya mtandao je mtandao gani ni salama?
Je kuna mtu ameshawahii kuagiza kupitia mitandao hii,naomba msaada wenu
Je www.tradecarview.com na www.japantradecar.com...
The 2nd Tanzania Automotive Festival 2009 builds on the success of the inaugural event last year. This year's show promises to be a comprehensive show that includes exhibits in the passenger cars...
Jamani naomba kujua kama kuna mtu anaejua kuwa namba inayoanza na code +177 ni ya nchi gani? maana kuna namba huwa inanibeep mara kwa mara, na nikiipiga inaiambia no connection. Kwa anayejua...
Nimeleta kama tangazo ,lakini ni kero ambayo,mimi mtanzania mzalendo ninayo-mbona kuna wahamiahaji haramu wengi sana hapa Tanzania,tofauti na majirani zetu k.m Kenya,DRC nk.Wapo tu na wanafanya...
Waungwana nataka kuagiza hii Suzuki ya 1994:
http://www.tradecarview.com/used_car/japan%20car/suzuki/jimny/814099/
Year / Month: 1994
Odometer: 18,000 km
Displacement: 650 cc
Bei yake ni...
Mama afariki, mtoto aokolewa
Mwanamke mmoja amefariki dunia Jijini Dar es Salaam baada ya kunywa sumu ya panya ambayo pia alimnyesha mwanae mwenye umri wa miaka sita.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi...
Hi guys,
Iam about to launch a weekly advertisement paper in Dar and for now Iam looking for a graphic designer and marketing department people who will be sales representatives to look for Ads...
toyota nadia ya mwaka 2000 silver
CC 1980
odo 110,000km
3s engine not d4
options
Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / A/C:front / Power Steering / AM/FM Radio /...