Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini waungwana Poleni na majukumu ya kazi na matumizi ya pas aka. Naomba kujua bei za mazao kwenye masoko ya Dar. kwa gunia la kilo 100 1. Mahindi 2. Michele 3. Maharage Au nikapata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamii formula NIKUSUBHILA CLEARING AND FORWARDING COMPANY ni kampunu mpya tumefungua kwajili ya ku-clear mizigo aina zote. Bei yetu ni nafuu sana. Clearance ya IT ni dollar 50 tu (50$)...
0 Reactions
2 Replies
732 Views
Habari, Maelezo ya gari yapo kwenye picha za gari na kadi yake. Bei ni 5.6 million. Gari ipo Arusha. Mawasiliano 0656388678
0 Reactions
7 Replies
815 Views
Nauza gari yangu nissan murano 2004, haina changamoto yoyote, 8.5M nina dharula.
2 Reactions
0 Replies
663 Views
Eneo liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. ya simbani . Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining. Nimeezeka vyumba 2 na vyoo vyake...
0 Reactions
1 Replies
496 Views
Onekana nadhifu na wa kitofauti. Kupendeza ndio mpango mzima. Tuonane PM
8 Reactions
96 Replies
3K Views
Kuna project iko nauza screpa za aina mbali mbali. Circuit za server na RRU za minara Cast Iron Chuma Aluminum Brass Iron Fiber Plastic Taja Bei Tutirike @1kg Kwa maelezo zaidi piga simu...
2 Reactions
4 Replies
797 Views
Simu nimeinunua yapata mwezi ina box na charg line 2 ... ipo nane nane Morogoro.
0 Reactions
1 Replies
353 Views
ENEO NA BOMA LINAUZWA KIBAHA KWA MFIPA JIRANI NA SEC.YA SIMBANI . ENEO LINA UKUBWA WA NUSU HEKA. KUNA BOMA LA NYUMBA YA VYUMBA 3 VYOTE MASTER. SEBLE JIKO NA DINING. NIMEEZEKA VYUMBA 2. NA VYOO...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Naomba msaada kwa anayejuwa mtu anayeuza mtumba ya arabic dress belo kutoka Dubai, Oman or Morocco cream quality. Nashkuru
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Naomba uzi huu uondolewe
6 Reactions
46 Replies
2K Views
S.A Link Traders Ltd ni kampuni iliyopata leseni na TRA ya kutoa mizigo bandarini, viwanjani na mipakani (borders), yaani freight clearing and forwarding. Karibuni mtuletee kazi za kugomboa...
0 Reactions
129 Replies
29K Views
Mahala biashara ilipo ni jambo la kujulikana kwa kila Mteja. Biashara kama 1. Mgahawa 2. Car Wash 3. Shule. 4. Hospital. 5. Lodge/Hotel 6. Garage Kupitia Google Maps unaweza kufikika kirahisi...
1 Reactions
3 Replies
410 Views
HEATER ZA JOTO KWAJILI YA KULEA VIFARANGA [emoji2788]Ni kawaida yetu kila jumapili kutoa OFAA Mbali mbali kwa wateja wetu juu ya Bidhaa zetu lengo ni kukuza tasnia ya ufugaji Tanzania [emoji1241]...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Inauzwa milioni 12 pungufu unaongea ipo zinga ukihitaji nicheki 0718127413
1 Reactions
17 Replies
1K Views
NYUMBA INAUZWA Milioni 45 tu(45,000,000/-) Ilipo kibaha picha ya ndege. Kilomita moja kutoka main road. ENEO UKUBWA 20*25 VYUMBA VITATU KIMOJA MASTER SEBULE KUBWA JIKO LA NDANI Nyumba ni nzuri...
1 Reactions
2 Replies
881 Views
Punguza gharama za ujenzi kwa kununua vifaa vya bomba kwa bei ya jumla jumla. IPS, PPR, GS, PVC Gutter Karibu Gerezani, kariakoo Whatsapp +255 669 494650 Ukiitaji bei njoo whatsap au fika dukani...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Kama heading inavosema hapo juu wakuu Nina mtu anahitaji vanilla kiasi chochote na kwa bei tajwa hapo juu, Mawasiliano piga 0746021481 Hata Leo uwezekano ukiwepo tunaanza safari ya Kuja kucheki...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ipo Arusha ni nzuri kwa kazi ngumu,inatumia mafuta kidogo sana sababu ya kuuza nataka ninunue baja 250 kwa safari za porini...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Electric OVEN PMC (imetumika miezi miwili) with 2 hot plates (ina majiko mawili hapo juu).. ni 48 Litres kwa tsh 195k. inachoma, kuoka na kupasha. inapatikana dar - kimara.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom