Diwani wa Chama cha Kata ya Mtibwa, wilayani Mvomero, mkoa wa Morogoro Chadema, Tusekile Mwakyoma(28), amefariki dunia, baada ya kuchomwa kwa kisu na mchumba wake.
Diwani huyo alifariki jana...
Wadau wana jf wenzangu.
Ninahitaji radio call za kununua .please kwa mwenye kufahamu mahala zinapouzwa hapa dar anijulishe kwa kupitia hapa jamvini au kwa simu no . 0712 926 823
asante.
Natafuta kiwanja maeneo ya Arusha chenye ukubwa wa hekari mbili. kwa mwenye nacho au kama unajua kiwanja chochote kinachouzwa chenye ukubwa huo tafadhali usisite kuwasiliana nami kupitia anwani...
Wakuu nimeweka mahesabu lakini hayaingii kichwani!
haya naombeni saada sasa!
Eka moja = sqm??
na kama ni mraba Upana?? * Urefu??
upimbi wangu unaniambia kuwa eka moja ina sqm 4000, this will give...
Wadau, kutokana na wingi wa bidhaa hii hapa nchini naomba kujuzwa wapi naweza kupata genuine solar equipments kwa bei reasonable. ninayoweza kupower nyumba yangu kwa ac maana yake nahitaji...
I am selling old computers, UPS, a photocopier, and printers. I was using the equipment in my 'stationery' business. They are not in perfect condition but they can be repaired and used or...
nina simu Nokia n73 symbian os orijino,nimeichoka kuitumia na ipo katika hali nzuri natafuta mtu wa kubadilishanae na simu nyingine,yoyote anijulishe ana simu gani tumadilishane!
HAPPY NEW YEAR 2012 Wale wataalamu wa I.C.T wanashughulika na huduma zifuatazo;-
- HOME SATELLITE DISH
- COMPUTER MAINTANANCE and REPAIR
- CCTV CAMERA INSTALLATION
- DATABASE DEVELOPMENT and...
Nawasalimu wajameni, Naomba mwenye ufahamu ni wapi ndani ya bongo (Dar) naweza kupata GPS (Global Positioning System) anielekeze ninahitaji kupata kadhaa. Natanguliza shukrani.
Habari wakubwa,
Blackberry 9300 3G kwa 320000/= unaweza upgrade to OS6
Blackberry 8520 kwa 230000/=
Simu zote ni mpya na original kabisa.
Nipigie 0655003510
wakubwa heshima kwenu,jana katika pilikapilika eneo la gerezani kkoo-dsm, nilisahau mkoba uliokua na laptop mini hp pamoja na documents nyingine,niligundua baada ya masaa mawili na niliporudi pale...
Kwa yeyote ambaye ana simu ya nokia 5130-express music,ambayo kioo/display yake imevunjika anitafute nitampa bure ipo kwenye simu yangu ambayo ilizima tu ghafla ila display ni nzima,cha muhimu...