Wana Jf,Habari. Natafuta order ya flash disk kwa wafanyakazi wa maofisini/ binafsi , flash zangu ni iriginal, aina ya TRANSCEND, tunatoa warranty ya kuanzia miaka miwili na life warranty kwa...
Ipo maeneo ya Kijitonyama karibu na Chrisco Church, njia ya kwenda kwa Ally Maua,
Haijakamilika, imefikia kwenye linta, lengo lilikuwa ni kujenga ghorofa moja.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa...
wakuu nauza ipad 2.kwa bei ya 950000.ipo kwenye hali nzuri sana.nimetumia miezi miwili tu. anaetaka tuwasiliane kwa 0719223225. au uni pm
nimejaribu kuweka picha imekataa.
Wadau
PLOT ILIYOPIMWA NA IN CERTIFICATE
Plot iliyopo katika vitalu Vipya vilivyopimwa rasmi vya a serikali "planned plots buyuni ilala", ina title (certificate) na ni pahala pazuri sana kwa...
Salaam kwenu wakuu. Tunatafuta mawakala (whole/retail sale dealers) popote nchini tufanye biashara ya usambazaji wa taa ya ajabu. Safari hii tumejipanga vyema kuitangaza. Wenye interest tafadhali...
Habari wana JF.Ninauza kiwanja changu kilichopo Kimara Kilungule chenye saizi ya 18x14m.Nilikinunua miaka kama miwili iliyopita.Kipo sehemu ya juu na hakihitaji hata kusawazishwa ili ujenge.Sababu...
iPad 32GB (WiFi + 3G), firmware 5.0.1 application zaidi ya 70 kwa bei ndogo. ni nzuri kwa matumizi ya ofisini, emailing, gaming, social networking na vilevile ni unlocked inaingiza line mitandao...
Tupigie tutakufata popote ulipo.Descol Company Limited Inatoa Huiduma za Refrigirator,air condition za magari na majumbani na Industrial Plant piga simu number 0715 414161 0759271153, 0784 414161...
Zinabeba abiria 31 kila moja. zinafanya kazi route za tabata kimanga posta. zipo tatu, kila moja inauzwa miliioni 18. kwa mawasiliano piga 0719 473879 au 0763 894508.
Mfanyakazi wa Kampuni ya The Guardian Limited, Michael Salira (70)
Mfanyakazi wa Kampuni ya The Guardian Limited, Michael Salira (70), pichani, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana nyumbani...
SIMU HII WAZEE YA UKWELI INAUZWA... For more information pitia tovuti hii hapa uone picha zaidi na specs http://www.welectronics.com/gsm/misc/DELL-STREAK.HTML
Bei 700,000/= pm kama ukiwa interested.
Nauza gari aina ya Toyota Nadia ya mwaka 2000. Gari ni zuri kabisa - karibu na jipya - halina tatizo lolote na rangi yake ni nyeupe inayoenda kwenye rangi ya maziwa. Ina eight CD changer na liko...
Gari iko katika hali nzuri sana...
Transmission: Automatic
Year: 2000
Doors: 5
Engine Capacity: 1995 cc
Fuel: Petrol
Colour: Pearl
Mileage: 80,877km
Improted from Japan April, 2010
Bei 9...